Malaria Sugu

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Wakuu

Mimi Nami Nina Tatizo moja. Kila mwezi nasumbuliwa na malaria. Napima, then Namezaga mseto, nakuwa sawa Ila ndani ya siku 30, inarudi tena. Najikuta kila mwezi nameza sawa. Natumia Chandarua Usiku, Sina vikao vya Usiku. Najikinda na mbu. Ila malaria inatudia Mara kwa Mara

Je Kuna suluhisho la kudumu?
 
Anza kupambana na chanzo sasa teketeza mbu wote .Tiba si imeshindikana?
 
Wakuu

Mimi Nami Nina Tatizo moja. Kila mwezi nasumbuliwa na malaria. Napima, then Namezaga mseto, nakuwa sawa Ila ndani ya siku 30, inarudi tena. Najikuta kila mwezi nameza sawa. Natumia Chandarua Usiku, Sina vikao vya Usiku. Najikinda na mbu. Ila malaria inatudia Mara kwa Mara

Je Kuna suluhisho la kudumu?
Pole,
Kuna haja ya kudhibitisha kitaalamu kama unatibia malaria kweli. Maana kuna mtu alikuwa anatumia dawa za malaria kila mwezi kumbe tatizo ni tofauti.

1: Kama ni malaria:
A: Tiba ya malaria na kufanya ufatiliaji baada ya tiba ili kujua kama imekweisha kila baada ya tiba.

Kama haikuisha, unaweza wahusisha Ifakara Health Institute ilnadhani huwa wanaweza kufanya Genotyping na kuangalia resistance pattern.

B: Puliza dawa ya kuua mbu ndani ya nyumba yako na nje ikiwezekana.

C: Ondoa maji yaliyotuama/sehemu za mazalia ya mbu.

D: Screen/ pima kila mwana familia kuhakikisha hawana maambukizi ya malaria.

E: Kila alie na malaria atumie dawa na kumaliza dozi

F: Tumia chandarua kwa ukamilifu

2: Angalia kama kuna sababu tofauti kwa kufanya vipimo kuangalia magonjwa mengine kulingana na mwafaka utakaoufikia na mtaalamu wa afya kulingana na dalili ulizonazo. Hasa magonjwa yatokanayo na virusi.
 
Pole mkuu jarbu kutumia majan ya mpapai yachemshe kwa dakka 10...15 hivi utumie kunywa
 
Wakuu

Mimi Nami Nina Tatizo moja. Kila mwezi nasumbuliwa na malaria. Napima, then Namezaga mseto, nakuwa sawa Ila ndani ya siku 30, inarudi tena. Najikuta kila mwezi nameza sawa. Natumia Chandarua Usiku, Sina vikao vya Usiku. Najikinda na mbu. Ila malaria inatudia Mara kwa Mara

Je Kuna suluhisho la kudumu?

Mbarikiwe sana Wakuu

Magonjwa mengine nimepima; Niko vizuri
 
Back
Top Bottom