paul miteda
Senior Member
- Jan 19, 2023
- 129
- 584
Kuna dada alijifungua mtoto miezi mitano iliyopita sasa ameshikwa na ugonjwa wa kupungukiwa damu sana kila akienda hospitali anaingiziwa damu lakini siku hiyo hiyo inaisha tena na madaktari wamempima kila kitu haonekani na tatizo lolote sasa.
Kwanini damu inakauka tu?
Kwanini damu inakauka tu?