General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Kama masihara vile lakini ndio hivyo tena,
Muda ahusubiri mtu, unasonga mbele kwa mbele kama ccm.
Mipango ilikwenda sawa?
Nani alikuwa mchawi wako?
Au mambo ni vuluvulu??
Tupeane faraja, tuliojikwaa tujue pakushika.
Binafsi milima ilikuwa mingi kuliko miteremko, milima mikali sana.
Zaidi ya yote ni kufurahia haya maisha, kujikubali na kuamini.
Tupe zako...
Muda ahusubiri mtu, unasonga mbele kwa mbele kama ccm.
Mipango ilikwenda sawa?
Nani alikuwa mchawi wako?
Au mambo ni vuluvulu??
Tupeane faraja, tuliojikwaa tujue pakushika.
Binafsi milima ilikuwa mingi kuliko miteremko, milima mikali sana.
Zaidi ya yote ni kufurahia haya maisha, kujikubali na kuamini.
Tupe zako...