Yataanza maombi ya ugonjwa kwanza!!!!!!!! Then nitaambiwa niandike summary niwape madogo wasome kwa niaba yangu, hapo ndo itakuwa AIBU BIN FEDHEHAAAA!!!!!!!!!!
Nilitegemea Mchagga anihonge Gari (Nijifanye nimenunua), bado anasitasita na Kadi kaandika jina lake, mara anipe, mara achukue gari lake hata Nizae tuuu, wapiiiiii!!!!!
Hii thread imenichoma ku moyo saaana!!
Hahaha! Safi hii nzuri kama inafanyikaga
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!
Peopleeeeeess Niaje (Kwa Masela) Habari za jioni (Civilized), Tumsifu yesu kristu (Roman), Bwana Asifiwe(Protetistants), Assalam Alaikum (السلام عليكم (Muslims) Mungu Ibariki Tanzania (Pagans)
Leo ni kati ya siku ambazo im more civilized than anybody! Naombeni ushauri, niko in a real familly fiasco!! Hapa natamani nistopishe jua kuwaka maana muda umeishaaaaa!
Sisi kama familia huwaga kila Mwanzo wa Mwaka 2/1 tunakaa as a family na kufanya misa pamoja na paroko na my aunt Sister/Nun ya kumshukuru mola kwa mema ya mwaka mzima, na kwa kuuona mwaka mpya!!!!! (Dnt be shocked i come frm a very religious family, huu ukuda ni kati ya zile zilizoanguka kwenye miiba, njiani na kwenye mwamba) Ni utaratibu mzuri sana kufanya as a family.
Baada ya ibada na family get together (sipendi kuosha mijombo baada ya watu kusaza!!!!! Mmmh!) tunakaa as a family NA KUREVIEW MALENGO YA KILA MMOJA ALIYOTOA MWAKA JANA!, UNAJIELEZEA UMEFIKIA WAPI?! UMEFANIKIWA YAPI!? VIKWAZO NINI?! USAIDIWAJE?! KAMA KUNA JANGA LILIKUPATA, UNAMALIZIA NA MWAKANI WAJIPANGAJE NA MALENGO MAPYA!!! Kila mtu anasema Kuanzia Mdingi hadi Beki tatu. Kila mtu manake kila mtu!!!!
Kwenye Tatizo langu sasa!!! Baada ya kila mtu kusema WALE WASHINDWAJI SUGUUUU (Hata lengo moja hamna kutimia) MNAFANYIWA MAOMBI MAALUMU sababu yawezekana si bureeeee!!!! Mizambiii imewazidii ili mpate baraka za ziada na Mungu awafanyie mizigo yenu myepesi!!!!! Sasa SAFU YA WASHIDWAJI SUGUUUU INAJULIKANAAA!!!!!!!! Ni safu ya aibu sanaaaaaa! Daaaaah! Ukikaa hii safu utafanya kazi kama mwehu usirudi tenaaa! Sasa mimi safu inaninukiaaaa! Mama yangu hapendi kabisaa mimi kukaa hii safu, hapa nae anahahahaa kuninusuru!!!
Sijatimiza hata lengo mojaaaa!!!! Nilitegemea ningekuwa Certified nimeshikwaaa!!!, Nilitegemea lile PROMO linitoe Bosi kabana ndo hivo hearing imeisha nimeshinda BONAS tuu ila PROMO badoooo sanaaa!!!! Nilitegemea Mchagga anihonge Gari (Nijifanye nimenunua), bado anasitasita na Kadi kaandika jina lake, mara anipe, mara achukue gari lake ilimradi purukushani!!!! Nilitegemea Niolewe au hata Nizae tuuu, wapiiiiii!!!!! Ningeanza hata msingi, wapiii!!! Hata hela ya kufyekea sinaaa!!!!! GUYS I GOT NOTHING TO SHOW!!!!! NOTHING!!!! NOTHING AT ALL!!!!!!!
Bora wale ambao Mungu hakuwabariki kazi nzuri( hata za mawazo kama yangu) wana cha kujikoshaaa!!! Mie zaidi ya KUTIRIRISHA MAJI YA DHAABU!!!! KUVAAAAAA!!!!! KUTREAT WATU!!!!! KUPARTY!!!!! KUPONDA MALI KUFA KWAJAAA!!!! SIJAFANYA LOLOTE LA MAANA!!!! KAZI IPO!!!! Nawaza jinsi ya kutoa USHUHUDA WA KUPOTOKA siku hiyooo!!!!!! PESA YA KUFANYA MUUJIZA HUU MWEZI ULIOBAKI SINAAAAA!!!!!
Hapa nangojea Muujiza tu, mtu anihonge Ghorofaaaa!!!! lolest!!!!!
Mwaka waishaaaa hivo wana jamvi!!!! MJIULIZE MMEFANYA NINI SIO KUJITIA MWANISIKITIKIA KUMBE NA NYIE HOLAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?
Hii sredi imeniacha mdomo wazi...lol
Hivi kweli mwaka unaisha eh???
Kibongobongo kuwa na malengo kazi usawa wenyewe wa kulenga kwa manati!!
Mdogo wangu lara 1 kama TBL wanatoaga bonus kwa wanywaji bora huenda ndio tuzo niliyobakiwa nayo...lol
Bora nimegraduate kimasters changu cha engineering kwa mbinde japo naweza kujitutumua kwa hilo lakini kwenye mpango wa njuruku bila bila nitasema kwamba nilikuwa natetea kishule changu
Hongera mwaya shule ilivyongumu tena hii ya masters lool sina hamu mimi kwakweli
wewe acha tu mkuu yani mpaka unajuta halafu unakuwa na gf akaelewe kanakuona kama unacheza mbona alivyonipiga chini nilishukuru sana aiseeee
Haah hah pole sana ila mimi hii shule nimeona ngumu kuliko shule zangu zoote kwakweli na mawalimu yanasumbua mno,
Haah hah pole sana ila mimi hii shule nimeona ngumu kuliko shule zangu zoote kwakweli na mawalimu yanasumbua mno,
Utamaliza tu Muombe sana Mungu maana shule ngumu si kawaida
mda bado siku nne ni nying sana in life.mabadiriko yanatokea hata kwa dk tu sijakata tamaa ntatoboa tu
mwakani mwaka 13?
ndo namba ya mkosi wanavyodai watu
so kama mwaka huu ulikuwa mbaya,mwakani utazidi...
lol,,,,
kwenye mwaka unaogawanyika sijawahi pata ugumu so i do expect great things