Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,006
Mimi binafsi ni kijana wa miaka 27 na mwakani ningependa kuoa ili pia kuwa na watoto mapema tatizo ni huyo wakuoa ni changamoto.
Baadhi ya vijana wakileo tunapitia mambo mengi yanayotufanya tuchelewe kuoa mfano kwangu.
1. Unakutana na mwanamke msomi ana kazi na kipato na mzur pia, mna date kama mwaka badae unapotaka kufanya taratibu za kuoa nayeye kashabadilika dharau kibao, majibu ya ovyo ata usaliti pia. Unaamua kupiga chini.
2. Unapata ambaye Hana kazi wala elimu Ila tatizo ni mdangaji sana ukilinganisha na uhalisia wa kipato chako, anapenda starehe sana unaamua kupiga chini au wewe anaamua kukupiga chini.
3. Anakuja anayekupenda kwa dhati ila unakuta hujampenda kiasi cha kumfanya mke wa maisha yako. Mwingine unatokea na wewe kumpenda ila tatizo hana akili ya maisha, ukimfungulia biashara yyte inakufa hapendi kazi au hawez kiufupi, unaamua kupiga chini.
Inafika mahali nakua na uamuzi wakutafta mwanamke nimzalishe nilee watoto tu kila mtu akae kivyake . hii wenzetu wazungu wanafanya tena kwa makubaliano .
Wengibne unakuta ni kuchelewa kusoma, kuwa katika extended family na unategemewa wewe, uchumi, malengo n.k
Je wewe ni changamoto gani inakufanya kuchelewa kuoa au kuolewa na kua na familia yako mapema.
N:b
Watu wa miaka 27 hadi 40 ambao hawajaoa wala kuolewa wakitoa changamoto zao itapendeza.
Waliooa mtupe pia ushauri kwajili ya kusaidia wengi. Nini kilikufanya uchukue maamuzi ya kuoa au kuolewa na uliyenae?
Asanteni wakuu nawasilisha
Baadhi ya vijana wakileo tunapitia mambo mengi yanayotufanya tuchelewe kuoa mfano kwangu.
1. Unakutana na mwanamke msomi ana kazi na kipato na mzur pia, mna date kama mwaka badae unapotaka kufanya taratibu za kuoa nayeye kashabadilika dharau kibao, majibu ya ovyo ata usaliti pia. Unaamua kupiga chini.
2. Unapata ambaye Hana kazi wala elimu Ila tatizo ni mdangaji sana ukilinganisha na uhalisia wa kipato chako, anapenda starehe sana unaamua kupiga chini au wewe anaamua kukupiga chini.
3. Anakuja anayekupenda kwa dhati ila unakuta hujampenda kiasi cha kumfanya mke wa maisha yako. Mwingine unatokea na wewe kumpenda ila tatizo hana akili ya maisha, ukimfungulia biashara yyte inakufa hapendi kazi au hawez kiufupi, unaamua kupiga chini.
Inafika mahali nakua na uamuzi wakutafta mwanamke nimzalishe nilee watoto tu kila mtu akae kivyake . hii wenzetu wazungu wanafanya tena kwa makubaliano .
Wengibne unakuta ni kuchelewa kusoma, kuwa katika extended family na unategemewa wewe, uchumi, malengo n.k
Je wewe ni changamoto gani inakufanya kuchelewa kuoa au kuolewa na kua na familia yako mapema.
N:b
Watu wa miaka 27 hadi 40 ambao hawajaoa wala kuolewa wakitoa changamoto zao itapendeza.
Waliooa mtupe pia ushauri kwajili ya kusaidia wengi. Nini kilikufanya uchukue maamuzi ya kuoa au kuolewa na uliyenae?
Asanteni wakuu nawasilisha