Sithan kama kuna ndoa yenye amani na maelewano maisha yao yote. Kinachofanyika lazima mmoja ajifanye mjinga na mvumilivu ili maisha yaendeMimi hata sijui nakoseaga wapi.
Sipatagi mtu serious kabisa unakuta inafika mahali unaona kabisa hapa tunapotezeana tu muda mana hakuna uelekeo.
Mtu unakuwa unafanya mahusiano serious kumbe mwenzio anakuchora tu hana mpango.
Nawaonea wivu wenye ndoa zao Ila tu wale wenye ndoa zenye amani na maelewano.
Huwa najifariji pia kuwa bora kuchelewa ukapata mtu sahihi kuliko kuwahi ukaambulia koroma.
Ila haya maisha hayana formula kabisa.
Anyway Mungu yupo.
Wew ni Me au Ke?Mie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Mie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Na ndio mana nikasema maelewano mana mkielewana lazima kuwe na amani.Sithan kama kuna ndoa yenye amani na maelewano maisha yao yote. Kinachofanyika lazima mmoja ajifanye mjinga na mvumilivu ili maisha yaende
Jamani mbona najisikia vibaya sana.Kwa niaba ya wanaume wenzangu ninasema Asante sana kwa tusi lako
Ebu fafanua vizuri kauli yako ili watu tuelewe nini unamanishaMie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Mnadanga kama sisiEbu fafanua vizuri kauli yako ili watu tuelewe nini unamanisha
Huwa unakutana na watoto wadogoMimi hata sijui nakoseaga wapi.
Sipatagi mtu serious kabisa unakuta inafika mahali unaona kabisa hapa tunapotezeana tu muda mana hakuna uelekeo.
Mtu unakuwa unafanya mahusiano serious kumbe mwenzio anakuchora tu hana mpango.
Nawaonea wivu wenye ndoa zao Ila tu wale wenye ndoa zenye amani na maelewano.
Huwa najifariji pia kuwa bora kuchelewa ukapata mtu sahihi kuliko kuwahi ukaambulia koroma.
Ila haya maisha hayana formula kabisa.
Anyway Mungu yupo.
Daaaaaaaahhhh haya matus makubwa sana kwa sisi wanaumeMie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
DuuuuuhhhWanaume hakuna kuna wa kiume
Sio unaonekana kama mwanaume mwenzao?Mie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Wa huko dar labdaMie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Mwenza taratibu jamani, hapo umetutukania baba zetu na waume zetu ujue!!!Mie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu