Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,071
- 2,010
Hadi baba'ko,kaka zako, binamu,wajomba zakoMie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Hadi baba'ko,kaka zako, binamu,wajomba zakoMie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Mnadanga kama sisi
Wanaume hakuna kuna wa kiume
Mimi kwakweli hata sijui nini nataka hata sababu ya msingi sina. Marafiki zangu huwa wananiamba nachagua sana mara siko tayari kufanya naamuzi. Nawaangalia tu maana hata sijui kwakweli.
Ni kama tunafanana kidogo . mtu mnafaamiana siku 3 ushaombwa had kodi ya nyumba . ni sawa kumsaidia mpenzi wako kwa chochote ila sio ki bint cha siku 3 kuomba zaid ya anachostahili kwa muda husika
Suala sio kusogelewa, sidhani kama niko tayari for that big commitment. And i dont know if i'll ever be.Labda ubachagua kweli. Embu jichunguze, style yako ya maisha inaweza fanya mtu asikusogelee
Kabisa, maana kuingia kwenye mahusiano ya maisha yote yaliyobakia ni maamuzi ya kuacha vyote na kumtazama nimpendaye kwa hali na maliWewe unafaa?
Basi Mungu na akujaalie alie sahihi.Kabisa, maana kuingia kwenye mahusiano ya maisha yote yaliyobakia ni maamuzi ya kuacha vyote na kumtazama nimpendaye kwa hali na mali
Wow! Nimeyapata vizuri maneno yako, hongera sana na Mungu awajalie mfikie lengo.Ninaempenda kutoka moyoni changamoto za maisha yake tu namuombea, God's timing tutavuka hii stage ya ndoa pia naamini, no pressure calm & collected
Hata kwa ugali na chumvi tutaishi sijampendea pesa zake wala mali zake maana hata mizinga hajawahi pigwa miaka ya karibuni
Miaka 5 toka nimjulie hapa hapa jf mmu amenifundisha kujipenda mimi zaidi, kujiamini,kuheshimu na kujali wengine kuwa na uvumilivu nk He inspires me to work hard not settle for less,to think logically and not with emotions first, after my dad he is my role model
Kabisa hapa nimepatikana na nimetulia mwenyewe, everything flows naturally hatutumii nguvu
Eeh nimeshusha povu kama lote point is, usiweke timeline wakati sahihi ukifika utampata mtu sahihi, endelea kutembea kwenye kusudi lako utampata anaefanana na mahitaji yako
Ps:hakuna perfect relationship, ni utayari wenu kusolve issues zenu, mahusiano ni zaidi ya upendo maturity matters too
Asante kwa kuyapata vizuri dear, asante kwa pongezi Amen tutafikaWow! Nimeyapata vizuri maneno yako, hongera sana na Mungu awajalie mfikie lengo.
Poa dear na msalimie huyo shemeji mstaarabuAsante kwa kuyapata vizuri dear, asante kwa pongezi Amen tutafika
Haha eti "mstaarabu",poa zitamfikiaPoa dear na msalimie huyo shemeji mstaarabu
😁😁😁😁😁Wanaume wapo.. tatizo lenu hamtoki nje ya boksi kutafuta wanaume wwakueleweka. Unaishi dar unafikir utapata mwanaume wa aina gani?toka nje ya hapo
😀😀😀😀😀😀😀Nyie si ndio mnakomaa huko mikoani? Njoo dar
wewe kama mimi,ngoja tuwasubiri wife material watakuja tu hata baada ya miaka miaMimi hata sijui nakoseaga wapi.
Sipatagi mtu serious kabisa unakuta inafika mahali unaona kabisa hapa tunapotezeana tu muda mana hakuna uelekeo.
Mtu unakuwa unafanya mahusiano serious kumbe mwenzio anakuchora tu hana mpango.
Nawaonea wivu wenye ndoa zao Ila tu wale wenye ndoa zenye amani na maelewano.
Huwa najifariji pia kuwa bora kuchelewa ukapata mtu sahihi kuliko kuwahi ukaambulia koroma.
Ila haya maisha hayana formula kabisa.
Anyway Mungu yupo.