Mwaka unaisha! Ni mambo gani yamekufanya uchelewe kuoa au kuolewa kutokana na umri wako?

Ninaempenda kutoka moyoni changamoto za maisha yake tu namuombea, God's timing tutavuka hii stage ya ndoa pia naamini, no pressure calm & collected
Hata kwa ugali na chumvi tutaishi sijampendea pesa zake wala mali zake maana hata mizinga hajawahi pigwa miaka ya karibuni
Miaka 5 toka nimjulie hapa hapa jf mmu amenifundisha kujipenda mimi zaidi, kujiamini,kuheshimu na kujali wengine kuwa na uvumilivu nk He inspires me to work hard not settle for less,to think logically and not with emotions first, after my dad he is my role model
Kabisa hapa nimepatikana na nimetulia mwenyewe, everything flows naturally hatutumii nguvu

Eeh nimeshusha povu kama lote point is, usiweke timeline wakati sahihi ukifika utampata mtu sahihi, endelea kutembea kwenye kusudi lako utampata anaefanana na mahitaji yako
Ps:hakuna perfect relationship, ni utayari wenu kusolve issues zenu, mahusiano ni zaidi ya upendo maturity matters too
Napenda kujua kama mlifanikiwa kuingia kwenye ndoa
 
Mimi nilitaka kuoa tangu mwezi September Ila kutokana na changa moto za kupunguza wafanyakazi ilifanya nisogeze mbele zaidi Ila nashukuru nilipata kibarua kingine na mwakani mwezi wa 6, 2019 natarajia kufunga ndoa. Na hata ikitokea nikatemwa tena kazini siwezi kuahirisha kuoa tena tafanya hata biashara na maisha yataendelea huku nikitafuta kazi taratibu, nacho shukuru mtu wangu anajua biashara za mtaji mdogo na anaweza kusimamia biashara zangu.
Mkuu ulifanikiwa kuoa?
 
Mimi hata sijui nakoseaga wapi.
Sipatagi mtu serious kabisa unakuta inafika mahali unaona kabisa hapa tunapotezeana tu muda mana hakuna uelekeo.
Mtu unakuwa unafanya mahusiano serious kumbe mwenzio anakuchora tu hana mpango.
Nawaonea wivu wenye ndoa zao Ila tu wale wenye ndoa zenye amani na maelewano.
Huwa najifariji pia kuwa bora kuchelewa ukapata mtu sahihi kuliko kuwahi ukaambulia koroma.
Ila haya maisha hayana formula kabisa.
Anyway Mungu yupo.
Vipi 2022 hii sasa. Mambo yalikuja kukaa sawa?
 
Mimi hata sijui nakoseaga wapi.
Sipatagi mtu serious kabisa unakuta inafika mahali unaona kabisa hapa tunapotezeana tu muda mana hakuna uelekeo.
Mtu unakuwa unafanya mahusiano serious kumbe mwenzio anakuchora tu hana mpango.
Nawaonea wivu wenye ndoa zao Ila tu wale wenye ndoa zenye amani na maelewano.
Huwa najifariji pia kuwa bora kuchelewa ukapata mtu sahihi kuliko kuwahi ukaambulia koroma.
Ila haya maisha hayana formula kabisa.
Anyway Mungu yupo.
Hapohapo kwenye u serious ndo unapokosea,inaonesha ww ni design ya mwanamke unatongozwa leo na mnataka muanze kudiskas habari za ndoa au plan za watoto!wanaume huwa tunaogopa watu wa design hiyo,userious huja wenyewe tu kwenye mahusiano namna unavyoshiriki au kuwa part ya maisha yake anajikuta hana options!!
 
Mimi hata sijui nakoseaga wapi.
Sipatagi mtu serious kabisa unakuta inafika mahali unaona kabisa hapa tunapotezeana tu muda mana hakuna uelekeo.
Mtu unakuwa unafanya mahusiano serious kumbe mwenzio anakuchora tu hana mpango.
Nawaonea wivu wenye ndoa zao Ila tu wale wenye ndoa zenye amani na maelewano.
Huwa najifariji pia kuwa bora kuchelewa ukapata mtu sahihi kuliko kuwahi ukaambulia koroma.
Ila haya maisha hayana formula kabisa.
Anyway Mungu yupo.
Dah! Umeandika kwa hisia Kali Sana mkuu ila nakuombea mkuu akufanyie wepesi katika hili.
Naamini ipo siku Mungu atakudondoshea zali la mwanamke mzuri atakayekidhi vigezo vyako na bila Shaka mtaoana na mjenge familia be yenye amani na upendo.
 
Mkuu,hebu zingatia hiyo namba 3 Kisha ifanyie kazi ipasavyo na bila Shaka utapata +ve results,ila kumbuka kwamba kila mtu Ana madhaifu Yake...oa tu
 
Hapohapo kwenye u serious ndo unapokosea,inaonesha ww ni design ya mwanamke unatongozwa leo na mnataka muanze kudiskas habari za ndoa au plan za watoto!wanaume huwa tunaogopa watu wa design hiyo,userious huja wenyewe tu kwenye mahusiano namna unavyoshiriki au kuwa part ya maisha yake anajikuta hana options!!
Hata sijawahi
Mimi ni yule mtu nakaa kwenye mahusiano huku nakusoma kimya kimya.
Kuna watu tu ukiwa nao unawaona uelekeo wao hata mmalize miaka unajua tu hapa mbona hapaeleweki
 
Back
Top Bottom