Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,919
- 8,609
Mie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
Wanawake wenzako wamekusikia mkuu, tuishie hapo
Mie nimechelewa kuolewa maana wanaume wote duniani nawaona kama wanawake wenzangu tu
huwezi tatua dharura mpaka mzee aje na je kama ni ya haraka.
Asante chiefKwa uliyoyaandika,uliyenaye ni sahihi haswa.
All the best.
Wanawake je wapo?Wanaume hakuna kuna wa kiume
Ukiona hivyo ujue haujawa tayari siku ukiwa tayari utafahamu. Japo unaweza kuwa umechelewaMimi kwakweli hata sijui nini nataka hata sababu ya msingi sina. Marafiki zangu huwa wananiamba nachagua sana mara siko tayari kufanya naamuzi. Nawaangalia tu maana hata sijui kwakweli.
YupWanawake je wapo?
Hausiki aiseeBaba yako nae anahusika na hii kauli?
Vigezo gani mfanoUkitaka samaki, usiende mbugani nenda baharini.......
Wanawake vigezo mnavyotafuta huwa si vya wanaume.....
usiumie kuwa pekeako ..umia kuwa na mtu asie sahihi kwakoUnayemtaka kumuoa hakupi heshima wala kukujali na usiempenda kutoka moyoni ndiye anayekusumbua hii nayo ni changamoto, usipokuwa makini, utamchukua huyo anakusumbua mradi tu uoe halafu baada ya muda umchoke na kumuanzishia vitimbi baada ya kuoana yule mpendaye ameanza kujileta...bora usioe kuliko kuoa usiyempenda ili mradi uitwe baba fulani maana ndoa sio kuitwa baba tu maana upendo wa dhati ndio kitu muhimu katika kuoa yule utayeishi naye milele.
ukisikia matusi ndo hayaDuh kwanini unawaona hivyo madam?
km kuna kaukwel ety mkuu°°°ΠKama unaweza fanya haya mambo matatu kiufasaha oa;
1.kumlisha vizuri mkeo
2.Kumvisha vizuri mkeo
3.Kumgonga vizuri mkeo
ila kama bado unasuasua subiri jipange na hayo mambo matatu kwanza.
hayaUkiona unaingia mahusiano mapya kila wakati na hayadumu.......jua haupo sawa somewhere na inabidi ujisahihishe before its too late....
itakua.Yule dokta wa muhimbili mlishaachana ?
Kama unaweza fanya haya mambo matatu kiufasaha oa;
1.kumlisha vizuri mkeo
2.Kumvisha vizuri mkeo
3.Kumgonga vizuri mkeo
ila kama bado unasuasua subiri jipange na hayo mambo matatu kwanza.
Kwaio wewe unaeandika "tafanya" utaweza kutunza mke kweli?Mimi nilitaka kuoa tangu mwezi September Ila kutokana na changa moto za kupunguza wafanyakazi ilifanya nisogeze mbele zaidi Ila nashukuru nilipata kibarua kingine na mwakani mwezi wa 6, 2019 natarajia kufunga ndoa. Na hata ikitokea nikatemwa tena kazini siwezi kuahirisha kuoa tena tafanya hata biashara na maisha yataendelea huku nikitafuta kazi taratibu, nacho shukuru mtu wangu anajua biashara za mtaji mdogo na anaweza kusimamia biashara zangu.