Mwaka unaisha, ni kitu gani cha thamani umefanikiwa kununua mwaka huu?

Mwaka unaisha, ni kitu gani cha thamani umefanikiwa kununua mwaka huu?

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,103
Reaction score
9,585
Twende kazi, mwaka huu umenunua kitu gani cha thamani zaidi?
IMG_8851.jpeg
 
Aliefanikiwa ni Lamomy kwenye uhalifu wa October 29 alionekana akiwa kabeba gunia la mchele bega la kushoto na mtungi wa gesi mkono wa kulia mali ambazo siyo zake na hajulikani kazitoa wapi, ila alionekana akitokea kwenye stoo iliyovunjwa mlango
 
Aliefanikiwa ni Lamomy kwenye uhalifu wa October 29 alionekana akiwa kubeba kabeba gunia la mchele bega la kushoto na mtungi wa gesi mkono wa kulia mali ambazo siyo zake na hajulikani kazitoa wapi, ila alionekana akitokea kwenye stoo iliyovunjwa mlango
Mbona umesahau kuorodhesha kendree zako na mkd wako?
 
Back
Top Bottom