Boligado
Member
- Jan 10, 2012
- 44
- 49
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kumuuliza Mtukufu Mfalme wa Morrocco kuhusu ahadi aliyotoa huko nyuma mwaka 2018 unakwisha sijaona maendeleo yoyote ya ujenzi wa uwanja zaidi ya kibao cha kutambulisha uwanja kulikoni?? Mwenye taarifa katika hili atujuze