masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,813
- 16,862
jambo jambonipo sawa sawia...jambo jambo wewe?
jambo jambonipo sawa sawia...jambo jambo wewe?
sijajiandaa na maswali haya..
hahahhaaha sitti swali ni gumu au
sijajiandaa na maswali haya..
unapewa na shamba la kufugia
sasa ole wako uwe na mchepuko
utacharangwa mapanga kama nyama ya mshikaki
Hahahahahahaaaa..... Ahsante binti Mtemvu akutafute kwa wakati wake.
Hahahaaa afu nilivo mkulima, tutalimaje mama WA watoto masai@dada!!!
Kuhusu mimi kuchepuka hilo halitatokea kwa sababu Mungu wng ninamwogopa kuliko mwanadam!!!
Ila ukichepuka ww, kitachokupataaa.....ohooooo....Mimi cmooooo...
........dah!!!!!
yaani ni mipango ya kuoa na kuolewa tu???
hamna mipango mingine?
Congrats ��i dont know what the future holds for me...i dont want to give my self high hopes or expectations but i am excited!
sijajiandaa na maswali haya..
Hahahahaha, habari hizi zimfikie Sitti Mtemvu.
nitakuheshimu na kukulinda