Mwaka ndio unaisha, tuongee kikubwa

Mwaka ndio unaisha, tuongee kikubwa

naweza nikasema hakuna umri maalum wa kuoa. ila kwa binti itakuwa vizuri pale atakapo maliza masomo yake. na kwa mwanaume vilevile atakapo maliza masomo yake na akishajijenga vya kutosha basi ni vizuri kuoa. kitu kingine ni pindi kijana wa kike au wa kuime akionesha kujitambua kikamilifu kiakili.

kumaliza masomo yake ndio nini? mkuu hivi kuna kumaliza kwenye masomo kusoma??
 
tehteh... Misai DADA ulinambia unataka. mwnye magari & ghorofaaa hvi!!

Nakukumbuka ujue

ndo maana nikasema umenifananisha
sisi kwetu tuna ngombe 500
ukinioa baba angu atakupa ngombe mia
uzajenga hiyo ghorofa
 
Last edited by a moderator:
ndo maana nikasema umenifananisha
sisi kwetu tuna ngombe 500
ukinioa baba angu atakupa ngombe mia
uzajenga hiyo ghorofa

achaa weeeee toto la kimasai hilo!!!
basi ngoja turewind. mkanda wetu, make bado kidooogo nikuoe atiiii
 
achaa weeeee toto la kimasai hilo!!!
basi ngoja turewind. mkanda wetu, make bado kidooogo nikuoe atiiii

unapewa na shamba la kufugia

sasa ole wako uwe na mchepuko
utacharangwa mapanga kama nyama ya mshikaki
 
Kaka mimi ninae ila nikimuambia suala la kuoa anapotea kabisa hata wiki ndio anarudi





Eti mimi si ndio kaka yenu bana, kwahiyo ni lazima niwaulize.

Kama wewe ni mdada, mwaka ndio huo unaisha una mipango gani juu ya kuolewa? maana siku zinavyozidi kwenda na umri unazidi kusogea? (wale wanachuo au wanafunzi haiwahusu nyie someni kwanza mmalize)

Kama wewe ni kaka una mipango gani ya kuoa maana na wewe umri wa kuoa umeshafika una kila kitu. umejiajiri, kuajiriwa, kipato kizuri, mshahara mzuri, biashara zako zinaendelea vizuri kwa ufupi maisha ni mazuri.

sasa unasubiri nini? au unataka mpaka upigiwe kengele?( hapa wale wenye kukaa home au chumba kimoja na sitting room haiwahusu ninyi jipangeni kwanza)

eenhe!! sasa niambieni kaka yenu mmipango yenu juu ya hilo jambo. NAWASIKILIZA!!!
 
Kaka mimi ninae ila nikimuambia suala la kuoa anapotea kabisa hata wiki ndio anarudi

Stuka, mnyime papuchi mwambie no sex mpaka akupe msimamo wake.

Siyo anaichakaza tu baadaye muowaji kweli akitest haina ladha lazima ukimbiwe, huyo kibaka kimbiza kabisa.
 
Kuoa hakuambiwi, akili tu inakaa sawa yenyewe na unaoa, Hasa Kama ukipata Yule haswaaaa unaemuhitaj,
Unaweza kukuta una Mali zote hizo lakin usipate Mtu wa kueleweka,
So ni kuimba Mungu tu, after all mwaka inaisha ila mwingine unaanza, so life's goes on ...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni dharau kwa sababu watu wengi mjini wana bedrom na Sitting room tu ndio mahitaji yao, mtu yupo mwenyewe nyumba nzima ya nini?

Umekosea.

sawa mkuu, kama kuna mtu nitakuwa nimemkwaza anisamehe . sikuwa na nia ya kumkwaza mtu hapa!
 
Back
Top Bottom