Mwaka huu watu wa diploma wanaoenda Bachelor hamna mkopo

Mwaka huu watu wa diploma wanaoenda Bachelor hamna mkopo

Ukitoka diploma kwenda Bach, inatakiwa diploma yako isiwe na 3yrs tangu umalize ndio uwe na uhalali kuomba mkopo. Uwenda wamebadili tena.. hawaeleweki km pishi za mchele, poleni
Saivi mfumo upo makini usipo kidhi vigezo unakukataa kabla hujafika popote
 
Mbona wapo waliopita diploma na wamepata mkuu? Sometimes ni bahati tu Wala sio vigezo ila pole sana.
 
Naelewa kuna ndugu yangu nimemfanyia application nime atach death certificate ila hajapata na alifadhiliwa diploma yake na mtu tu na pia kamaliza mwaka jana
Death certificate sio kigezo cha kupata mkopo pekee yake, kuna mambo mengi yanaangaliwa halaf hio kusema mtu binafs kamfadhil masomo ni uongo wa wazi, kama taasisi ndo imemfadhil angepata mchana kweupe

Tatzo vijana mmezid uongo mnaua wazaz wenu wakiwa wazma ili mpate mkopo na michezo hiyo wanaijua hata wao, kwahyo wanaangalia factors zaid ya 3 ndo wakupe sio Moja tu
 
Umemaliza mtu kasoma O'level tu Ada Jumla 2.8M anaenda Chuo tena cha Public ambapo Ada 1.4M analialia anataka mkopo, Hii issue inatesa sana mtumishi basi tu
Hii mikopo utaifurahia ukiwa unasoma ila day unapata ajira ndio utajua hujui.

Sema ni umasikini uliotengenezwa na ccm,hii mikopo ilitakiwa iwe grants tu.
 
Death certificate sio kigezo cha kupata mkopo pekee yake, kuna mambo mengi yanaangaliwa halaf hio kusema mtu binafs kamfadhil masomo ni uongo wa wazi, kama taasisi ndo imemfadhil angepata mchana kweupe

Tatzo vijana mmezid uongo mnaua wazaz wenu wakiwa wazma ili mpate mkopo na michezo hiyo wanaijua hata wao, kwahyo wanaangalia factors zaid ya 3 ndo wakupe sio Moja

Death certificate sio kigezo cha kupata mkopo pekee yake, kuna mambo mengi yanaangaliwa halaf hio kusema mtu binafs kamfadhil masomo ni uongo wa wazi, kama taasisi ndo imemfadhil angepata mchana kweupe

Tatzo vijana mmezid uongo mnaua wazaz wenu wakiwa wazma ili mpate mkopo na michezo hiyo wanaijua hata wao, kwahyo wanaangalia factors zaid ya 3 ndo wakupe sio Moja tu
inaonekana unamfahamu ndugu yangu kuliko mimi mwenyewe .ila point yako nimeipata acha niende heslb tujue tunafanyaje kuhusu mfadhili wake kusajiliwa maana ansomesha watu kibao tu
 
Kama unaweza jisomesha bila huo mkopo ni bora ufanye hivo. Hizo hela zinatesa sana wakati wa Kuzilipa.
 
Kila mtu wa diploma ninayr mfahamu hamna aliyepata hata aliye weka cheti cha kifo . Ni kazi kweli kweli kama mikopo ni ya form six tu waseme
Nchi ishakua ya kingesengesema Tasaf Only ukitaka mkopo jiunge Tasaf haraka sana wanakupa mkopo
 
inaonekana unamfahamu ndugu yangu kuliko mimi mwenyewe .ila point yako nimeipata acha niende heslb tujue tunafanyaje kuhusu mfadhili wake kusajiliwa maana ansomesha watu kibao tu
Kama kasajiliwa Saw, lakn kuhusu kumjua ndugu yako hizo shida zako mm nimesema taratibu zilivyo na ujanja wa kiboya wanaofanya waombaj
 
Back
Top Bottom