Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,652
- 2,696
Kuna vyama nchini vinatumwa na mabeberu kuharibu amani ya Tanzania yetu, wanahangaika kwa mabeberu mpaka wameitwa masokwe lakini bado.
Mfano; Hiki chama cha Chadema ndicho chama cha vurugu nchini, kipo radhi kikeshe bunge la ulaya kwa lengo la kuhatarisha amani ya Tanzania yetu. Ni vema wakajua kuwa Tanzania ni nchi huru hakuna nchi ya kuingilia shughuli zetu.
Nichukue nafasi hii kukipongeza chama changu cha CCM kwa kusimamia Amani ya Tanzania yetu, CCM chama pekee kinachofanya kazi zake za siasa huku kikilenga ustawi wa amani yetu nchini.
Hongera sana mwenyekiti wa chama cha CCM na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan, kwa kusimamia kwa nguvu zote amani ya Tanzania yetu.
God bless our President Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Mungu ibariki CCM
Mungu kibariki Tanzania.
Mfano; Hiki chama cha Chadema ndicho chama cha vurugu nchini, kipo radhi kikeshe bunge la ulaya kwa lengo la kuhatarisha amani ya Tanzania yetu. Ni vema wakajua kuwa Tanzania ni nchi huru hakuna nchi ya kuingilia shughuli zetu.
Nichukue nafasi hii kukipongeza chama changu cha CCM kwa kusimamia Amani ya Tanzania yetu, CCM chama pekee kinachofanya kazi zake za siasa huku kikilenga ustawi wa amani yetu nchini.
Hongera sana mwenyekiti wa chama cha CCM na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan, kwa kusimamia kwa nguvu zote amani ya Tanzania yetu.
God bless our President Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Mungu ibariki CCM
Mungu kibariki Tanzania.