JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Natabiri kifo cha CCM 2011-2012,
1. JK Hawezi kumtosa EL wala RA Na ikitokea akafanya ivo na yeye ndio mwisho wake, labda RA kidogo anaweza kutoswa,
2. Akishindwa kuwatoa atatolewa yeye na wao na nguvu ya chama ccm au nguvu ya Umma,
3. Na akiwatosa wote hawatakubali kufa wenyewe tena kama mwanzo watatangazana na kugawanyika kwenye makundi kitu ambacho kitapelekea tafrani kubwa na ikumbukwe EL Ana nguvu ya kila kitu na bongo ina read kilometa vizuri sana kuliko hat Mkuu wake, Anaweza kununua makanali wa4 wakampindua JK masai ni mjanja sana yule,
Kweli huu ni mwaka dume kwa Mh JK, 'mark my word' don't wake me up until i wake u':mmph:
Sina chama wala kadi ya chama cct....
1. JK Hawezi kumtosa EL wala RA Na ikitokea akafanya ivo na yeye ndio mwisho wake, labda RA kidogo anaweza kutoswa,
2. Akishindwa kuwatoa atatolewa yeye na wao na nguvu ya chama ccm au nguvu ya Umma,
3. Na akiwatosa wote hawatakubali kufa wenyewe tena kama mwanzo watatangazana na kugawanyika kwenye makundi kitu ambacho kitapelekea tafrani kubwa na ikumbukwe EL Ana nguvu ya kila kitu na bongo ina read kilometa vizuri sana kuliko hat Mkuu wake, Anaweza kununua makanali wa4 wakampindua JK masai ni mjanja sana yule,
Kweli huu ni mwaka dume kwa Mh JK, 'mark my word' don't wake me up until i wake u':mmph:
Sina chama wala kadi ya chama cct....