Mwaka 2025: Selemani Jaffo ni mgombea wa CCM urais(?)

Mtoa mada badilisha mwaka weka 2020 sio 2025 tafadhali. Hatutakivumilia hiki chama kurudi tena 2020 hata wawepo kina jecha 20. Tutapiga kura za "kishetani" vilevile kama nyie mnavyotufanya mashetani kwa sasa.
 
mtoa mada kama una kipaji cha utabiri jitangaze upige pesa kama akina sheikh yahya
Siyo kutabiri ni kupata fursa ya kujua yajayo, pasico alisema lazima ajaye ni KATTO, watu waka puuza, sasa ajaye anajulikana
 


Jikiteni kufanya kazi ili kuleta maendeleo binafsi na nchi pia, tumsaidie raisi kwa kufanya kazi, tuache majungu na uvivu na tamaa za kipumbavu, ni uwendawazimu ya hali ya juu kuanza kupanga safu za kipuuzi sasahivi, Kwanza kwa taarifa yako Mh Magufuli hawezi kukubali upuuzi huo, mtu ambaye ameingia serikalini kujijenga kisiasa binafai na si kufanya kazi ya kumsaidia raisi huyo hana nafasi ni wa kutumbua tu,
 
HM nani huyu Hussein Mwinyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…