Mwaka 1988 YANGA iliinusuru SIMBA isiteremke daraja

Kumbe hata zile 5 , 0 mwaka 2012 Yanga iliwabeba simba ili simba wawe mabingwa ! Itoshe tu kusema Manara hakukosea kuwaita hamnazo.Kama mnakubali kula vichapo et mnaiokoa timu fulani nyie ni mazuzu Kwelikweli.
 
Kama mechi ya kwanza Yanga angemfunga Simba labda narudia labda hizo ngonjera zingekuwa na mantiki.Timu hizo zilitoka sare.Mechi ya mwisho yaani Yanga auache ubingwa???Kutema mpira kwani Sahau Kambi ndio wa kwanza?Alitema Diarra na Ihefu Utopolo wakafungwa goli la kusawazisha.Au na yeye aliwaachia IHEFU.
Ngonjera za kumbeba Simba zilikuwa za visingizio vya kukosa ubingwa.
 
Back
Top Bottom