Mwaka 1988 YANGA iliinusuru SIMBA isiteremke daraja

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,894
155,916
YANGA YAIBEBA SIMBA ISISHUKE DARAJA 1988
1697304260064.jpg

Simba Msimu wa Pili mfululizo kunusurika, bali ushindi wao wa magoli 2-1 dhidi ya Yanga uliwanusuru ilikua Jumamosi Julai 23, 1988 mwaka huo kwenye Uwanja wa Taifa uliifanya ilinde hadhi yake.

Mchezo huo ulikuwa ni wa marudiano wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara, ambapo katika mchezo wa kwanza timu hizo zilifungana 1-1.

Kwa Coastal Union kuchapwa magoli 2-0 na African Sports siku hiyo, Yanga ilihitaji sare tu ili iweze kutetea ubingwa wake, lakini timu ya Tanga pamoja na kipigo hicho ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara kwa tofauti ya idadi ya magoli ya kufunga.

Yanga na Coastal zilikuwa na pointi 26 kila moja, lakini Coastal ilikuwa na magoli 27 na Yanga ilikuwa na magoli 24.

African Sports ilishika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 26 pia lakini ilikuwa na magoli 23 ya kufunga.

Timu hii, hata hivyo, iliingia kwenye Ligi Kuu ya Muungano na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Tanzania nzima mwaka huo.

Simba ilikuwa ya tatu kutoka mwisho ikiwa na pointi 20.

Vikosi Vilikuwaje?

YANGA: Sahau Said Kambi, Fred Felix/Yusuf Bana, Kenneth Mkapa, Godwin Aswile, Lawrence Mwalusako, Athumani China/Abdallah Burhani, Justin Mtekele, Said Mwamba ‘Kizota’, Issa Athumani, Dennis Mdoe na Celestine Mbunga.


SIMBA: John Bosco, Raphael Paul, Twaha Hamidu, Deo Njohole ‘OCD’, Pazi Ally, Daniel Muhoja, John Makelele, Adolf Kondo/Francis Mwikalo, Edward Chumila na Augustine Haule.
 
Hizi ni Hadithi tu, Ukweli ni Kwamba Utopolo
ilikung'utwa 2 - 1 na Mnyama Mwaka huo 1988,Na Kumbukumbu TBC Wanazo....mtangazaji wa Ule Mtanange Ahmed Jongo na Juma Nkamia ,mnaweza kunisahihisha kama nimekosea.

Yaani Ilikuwa Yanga Kufungwa ni 'Unkwepekable' thing...!

Hiyo siku Lilipigwa 'mbungi' Vijana wa Sasa ndo Wangesema 'Utatoa hutoi'....! Yanga akalainika Akatoa...!


Hivi kwa akili ya Kawaida hii Utopolo yenye Watu Wawili tu Wenye Akili unafikiri ingeweza kukubali ijifungishe ili tu timu ya Simba Isishuke Daraja? Hilo ni impossible ..!



na Sijui hizi story Kwa nini zinakuja Wiki hii ambapo Utopolo Wanatakiwa Ku 'Shut up' midomo yao Kwa kuwa Hawahusiki na AFL.....!

Hawa CAF kwa hili, Wajitathimini kwa Kutowajumuisha Yanga..!
 
Simba ni mtoto wa Yanga ndio Maana Kila akiota mapembe Yanga anayakata! Msimu huu figisu ziko wazi Simba ichukue kombe Maana iliota mapembe baada ya mafanikio ya miaka minne Yanga ikawakalisha chini kwa nguvu!

Ni kweli Yanga walijiangusha 1988 Ili Simba ibaki kwenye ligi , huo ni ukweli mchungu!

Kiuhalisia Simba hata wasajili Ronaldo na Benzema hawana uwezo wa kuifunga Yanga, Siku zote Simba hushinda Yanga kwa mipango tu au uchawi ila vipaji na kabumbu daima viko jangwani! Ukitaka ushahidi muulize shabiki wa Simba kabla ya Derby yoyote kama ana uhakika wa kushinda mechi! Ikitokea Simba kashinda sherehe ni wiki nzima wakati Yanga ikishinda derby hakuna anaeshangaa!
 
Goli la kwanza la Simba lilifunfwa na Edward Chumila upande wa kaskazini, Issa Athumani Akasawazishia Yanga kipindi cha kwanza 1-1, Goli la mbeleko lilifungwa na John Makelele upande wa kusini mwa uwanja kipindi cha pili.

Mpira wa juu ambao sahau kambi kipa wa Yanga, aliruka na kuu kamata chakushangaza aka uachia kabla ya yeye kufika chini na mchezaji wa Simba aliyekua amesajiliwa kutokea pamba John Makelele akajiokotea Dodo kwa mpira ulio anguka mbele yake kwa ku usukumizia golini upande wa kusin mwa shamba la bibi.
Ukumbuke katika mechi ile viongozi na mashabiki wa Simba wengi walikimbia, uwanja ulikua na mashabiki wachache sana wa Simba ata wachezaji walikua 13 tu wengi walikimbia kwa kuogopa licha ya mgogoro mkubwa ulio kuwepo mwenye timu.

Ukiacha kipa John Bosco simba hawakua na kipa wa akiba mwingine na ubaoni walikua na wachezaji wawili tu. Fransis Mwikalo na Mwingine Si mkumbuki.

Mashabiki wengi walikata tamaa baada ya Simba kufungwa na Pamba kule Mwanza goli 1-0 wakati walitegemea pale ndio pa kunusurika ikawa imebaki mechi ya mwisho dhidi ya Yanga.

Yanga ili bidi wawe wakomavu kwa kukubali kuibeba Simba ambayo kiasili ni mfupa katika mifupa yake.

Kitu cha kushangaza baada ya mechi mashabiki wale wachache wakiwa wamevua mashati na kandambili zile za matairi ya gali wakiwa wamezivaa mikononi, (wale wa kitambo wanaelewa namna ya kuvaa mikoni ili isi katike au urahisi wa kutimua mbio au wale waruka ukuta pale taifa)
Uku wakisukumiza basi la wachezaji, barabarani walikutana na mashabiki wenzao wengi barabarani mpaka barabara kuwa finyu kwa matumizi mengine, wakielekea klabuni msimbazi kwa shangwe kubwa.
 
Kipindi icho Simba ilifungiwa kusajili,Yanga nao walikua hoi bin taaban awana fedha.
ndio sasa Yanga wakaomba msaada wa kifedha kwa Simba yenye matajiri wengi ili iuze mechi.mambo yakawa hivyo.
 
Hizi ni Hadithi tu, Ukweli ni Kwamba Utopolo
ilikung'utwa 2 - 1 na Mnyama Mwaka huo 1988,Na Kumbukumbu TBC Wanazo....mtangazaji wa Ule Mtanange Ahmed Jongo na Juma Nkamia ,mnaweza kunisahihisha kama nimekosea.

Yaani Ilikuwa Yanga Kufungwa ni 'Unkwepekable' thing...!

Hiyo siku Lilipigwa 'mbungi' Vijana wa Sasa ndo Wangesema 'Utatoa hutoi'....! Yanga akalainika Akatoa...!


Hivi kwa akili ya Kawaida hii Utopolo yenye Watu Wawili tu Wenye Akili unafikiri ingeweza kukubali ijifungishe ili tu timu ya Simba Isishuke Daraja? Hilo ni impossible ..!



na Sijui hizi story Kwa nini zinakuja Wiki hii ambapo Utopolo Wanatakiwa Ku 'Shut up' midomo yao Kwa kuwa Hawahusiki na AFL.....!

Hawa CAF kwa hili, Wajitathimini kwa Kutowajumuisha Yanga..!
Nkamia??? Hata F4 alikuwa hajamiliza.
 
Goli la kwanza la Simba lilifunfwa na Edward Chumila upande wa kaskazini, Issa Athumani Akasawazishia Yanga kipindi cha kwanza 1-1, Goli la mbeleko lilifungwa na John Makelele upande wa kusini mwa uwanja kipindi cha pili.

Mpira wa juu ambao sahau kambi kipa wa Yanga, aliruka na kuu kamata chakushangaza aka uachia kabla ya yeye kufika chini na mchezaji wa Simba aliyekua amesajiliwa kutokea pamba John Makelele akajiokotea Dodo kwa mpira ulio anguka mbele yake kwa ku usukumizia golini upande wa kusin mwa shamba la bibi.
Ukumbuke katika mechi ile viongozi na mashabiki wa Simba wengi walikimbia, uwanja ulikua na mashabiki wachache sana wa Simba ata wachezaji walikua 13 tu wengi walikimbia kwa kuogopa licha ya mgogoro mkubwa ulio kuwepo mwenye timu.

Ukiacha kipa John Bosco simba hawakua na kipa wa akiba mwingine na ubaoni walikua na wachezaji wawili tu. Fransis Mwikalo na Mwingine Si mkumbuki.

Mashabiki wengi walikata tamaa baada ya Simba kufungwa na Pamba kule Mwanza goli 1-0 wakati walitegemea pale ndio pa kunusurika ikawa imebaki mechi ya mwisho dhidi ya Yanga.

Yanga ili bidi wawe wakomavu kwa kukubali kuibeba Simba ambayo kiasili ni mfupa katika mifupa yake.

Kitu cha kushangaza baada ya mechi mashabiki wale wachache wakiwa wamevua mashati na kandambili zile za matairi ya gali wakiwa wamezivaa mikononi, (wale wa kitambo wanaelewa namna ya kuvaa mikoni ili isi katike au urahisi wa kutimua mbio au wale waruka ukuta pale taifa)
Uku wakisukumiza basi la wachezaji, barabarani walikutana na mashabiki wenzao wengi barabarani mpaka barabara kuwa finyu kwa matumizi mengine, wakielekea klabuni msimbazi kwa shangwe kubwa.
Ukweli mtupu.
 
Yanga siku zote wakifungwa wanatafuta sababu, hata walipopigwa tano walitafuta sababu nyingine nje ya uwanja.
Kama kweli walipanga kumwachia Simba kwanini waliachana na Sahau Kambi wakati huo anaitwa Tanzania one?
 
Yanga siku zote wakifungwa wanatafuta sababu, hata walipopigwa tano walitafuta sababu nyingine nje ya uwanja.
Kama kweli walipanga kumwachia Simba kwanini waliachana na Sahau Kambi wakati huo anaitwa Tanzania one?
Hapana, hiyo FAT waliicheza, mi mwaka huo nilikuwa F5 na timu kama sikosei zilikuwa 12 zimebanana hapo kwenye kushuka na ubingwa. Sahau Kambi akaonwa akamtupia mpira Zigzag John Makelele 2nd half ikawa imeisha hiyo.
 
Hakumtupia nilikuwa uwanjani aliutema mpira ingekuwa Sasa hivi tungetafuta marudio Azam TV
Hapana, hiyo FAT waliicheza, mi mwaka huo nilikuwa F5 na timu kama sikosei zilikuwa 12 zimebanana hapo kwenye kushuka na ubingwa. Sahau Kambi akaonwa akamtupia mpira Zigzag John Makelele 2nd half ikawa imeisha hiyo.
 
Goli la kwanza la Simba lilifunfwa na Edward Chumila upande wa kaskazini, Issa Athumani Akasawazishia Yanga kipindi cha kwanza 1-1, Goli la mbeleko lilifungwa na John Makelele upande wa kusini mwa uwanja kipindi cha pili.

Mpira wa juu ambao sahau kambi kipa wa Yanga, aliruka na kuu kamata chakushangaza aka uachia kabla ya yeye kufika chini na mchezaji wa Simba aliyekua amesajiliwa kutokea pamba John Makelele akajiokotea Dodo kwa mpira ulio anguka mbele yake kwa ku usukumizia golini upande wa kusin mwa shamba la bibi.
Ukumbuke katika mechi ile viongozi na mashabiki wa Simba wengi walikimbia, uwanja ulikua na mashabiki wachache sana wa Simba ata wachezaji walikua 13 tu wengi walikimbia kwa kuogopa licha ya mgogoro mkubwa ulio kuwepo mwenye timu.

Ukiacha kipa John Bosco simba hawakua na kipa wa akiba mwingine na ubaoni walikua na wachezaji wawili tu. Fransis Mwikalo na Mwingine Si mkumbuki.

Mashabiki wengi walikata tamaa baada ya Simba kufungwa na Pamba kule Mwanza goli 1-0 wakati walitegemea pale ndio pa kunusurika ikawa imebaki mechi ya mwisho dhidi ya Yanga.

Yanga ili bidi wawe wakomavu kwa kukubali kuibeba Simba ambayo kiasili ni mfupa katika mifupa yake.

Kitu cha kushangaza baada ya mechi mashabiki wale wachache wakiwa wamevua mashati na kandambili zile za matairi ya gali wakiwa wamezivaa mikononi, (wale wa kitambo wanaelewa namna ya kuvaa mikoni ili isi katike au urahisi wa kutimua mbio au wale waruka ukuta pale taifa)
Uku wakisukumiza basi la wachezaji, barabarani walikutana na mashabiki wenzao wengi barabarani mpaka barabara kuwa finyu kwa matumizi mengine, wakielekea klabuni msimbazi kwa shangwe kubwa.
Nilikuwepo hiyo mechi ,refa alikuwa snatumia mluzi kama filimbi ns hakukuwa na sheria ya offside
 
YANGA YAIBEBA SIMBA ISISHUKE DARAJA 1988

Simba Msimu wa Pili mfululizo kunusurika, bali ushindi wao wa magoli 2-1 dhidi ya Yanga uliwanusuru ilikua Jumamosi Julai 23, 1988 mwaka huo kwenye Uwanja wa Taifa uliifanya ilinde hadhi yake.
halafu ikakosa fadhila ikaja ikaifunga Yanga 5-0. Sio fair kabisa

1697439391868.png
 
YANGA YAIBEBA SIMBA ISISHUKE DARAJA 1988
View attachment 2782175
Simba Msimu wa Pili mfululizo kunusurika, bali ushindi wao wa magoli 2-1 dhidi ya Yanga uliwanusuru ilikua Jumamosi Julai 23, 1988 mwaka huo kwenye Uwanja wa Taifa uliifanya ilinde hadhi yake.

Mchezo huo ulikuwa ni wa marudiano wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara, ambapo katika mchezo wa kwanza timu hizo zilifungana 1-1.

Kwa Coastal Union kuchapwa magoli 2-0 na African Sports siku hiyo, Yanga ilihitaji sare tu ili iweze kutetea ubingwa wake, lakini timu ya Tanga pamoja na kipigo hicho ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara kwa tofauti ya idadi ya magoli ya kufunga.

Yanga na Coastal zilikuwa na pointi 26 kila moja, lakini Coastal ilikuwa na magoli 27 na Yanga ilikuwa na magoli 24.

African Sports ilishika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 26 pia lakini ilikuwa na magoli 23 ya kufunga.

Timu hii, hata hivyo, iliingia kwenye Ligi Kuu ya Muungano na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Tanzania nzima mwaka huo.

Simba ilikuwa ya tatu kutoka mwisho ikiwa na pointi 20.

Vikosi Vilikuwaje?

YANGA: Sahau Said Kambi, Fred Felix/Yusuf Bana, Kenneth Mkapa, Godwin Aswile, Lawrence Mwalusako, Athumani China/Abdallah Burhani, Justin Mtekele, Said Mwamba ‘Kizota’, Issa Athumani, Dennis Mdoe na Celestine Mbunga.


SIMBA: John Bosco, Raphael Paul, Twaha Hamidu, Deo Njohole ‘OCD’, Pazi Ally, Daniel Muhoja, John Makelele, Adolf Kondo/Francis Mwikalo, Edward Chumila na Augustine Haule.
Porojo za mtu mzima wakati mwingine zinachukuliwa km kweli. Kumbe porojo za mtu Mzee mjinga.
 
Unacheza unapigwa 2 Halafu unaniambia ulinibeba.

Hakuna uto/gongowazi mwenye akili
Screenshot_20230426-193954.jpg
 
Back
Top Bottom