Mwaka 1869 ulifunguliwa mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), mfereji unaofupisha safari ya kutoka bara la Ulaya mpaka Asia

Polycarp Mdemu

Senior Member
Jun 2, 2019
165
209
Mwaka 1869 ulifunguliwa Mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), Ni mfereji ambao ulitengenezwa kwa Nguvu ya Binadamu ili Kufupisha safari ya Kutoka Bara la Ulaya Mpaka Asia.

Kabla ya kuwepo kwa mfereji huu Safari ya kutoka Ulaya, kwa mfano kutoka Bandari kubwa Ulaya iitwayo Rotterdam huko Uholanzi mpaka Dubai ni Kilomita 20,900 yaani Meli zilikua zikitembea Siku hadi 24.

Lakini ulipojengwa Mfereji huu, Meli zinatembea kilometa 12,000 kwa siku 10 pekee, Safari imekua rahisi sana, na idadi ya meli kutoka ulaya ziliongezeka, Kwa mwaka meli takribani meli 15,000 hupita mferejini hapo.

Mfereji huu ulianza Kujengwa mwaka 1859 na kampuni la Suez Canal Company na kumalizika mwaka 1869 aliyeanzisha Kampuni hilo ni bwana Ferdinand de Lesseps, Mfereji una Urefu wa 193.30 Kilomita, na Upana mpaka Mita 300.

Meli ya kwanza ilipitia mfereji mpya tarehe 17 Februari 1867 iliitwa El Mahrousa

Mfereji huu japo hapo mwanzo ulikuwa ukimilikiwa na Serikali ya Misri lakini Ni wazi waliokua wakiuendesha ni Shareholders kutoka nchi za Ulaya, Hasa Uingereza na Ufaransa.

Mwaka 1956 raisi wa Misri wakati huo Gamal Abdel Nasser alitaifisha mfereji huo ambao ulileta Vita iliyoitwa Suez Crisis.

Mawazo ya kupata mfereji huu mwanzo yalikua yakionekana hayawezekani, Hivyo Mafanikio ya mfereji wa Suez yalihamasisha ujenzi wa mwanzo ya Mfereji wa Panama.

KATIKA HISTORIA Wakati wa Vita vya Siku Sita vya Juni 1967(Six days War) kati ya Misri na Israeli, Mfereji wa Suez ulifungwa na serikali ya Misri na kuzuia kila upande kwa meli za kivita zilizovamia mfereji, Hivyo hakuna meli iliyoruhusiwa Kuingia ama kutoka.

Wakati wa kufungwa, meli 15 za kimataifa zilijikuta zimebaki katikati ya mfereji kwenye Ziwa Kuu la Bitter. Walibaki wakiwa wamekwama katikati ya mfereji katikati ya maji kwa miaka nane, wenyeji waliwaita "Yellow fleet" kwa sababu ya mchanga wa jangwa ambao ulifunika meli zao.

Watu waliokuwamo ndani ya meli hasa wahudumu, wengi walizunguka ndani na nje ya meli zilizokwama kwa kazi ya miezi 3, lakini wengine walipoteza mda kwa kuunda jumuiya yao na kuandaa hafla za michezo na kijamii ili maisha yaendelee ndani ya Mfereji licha ya Kukwama

Kadiri miaka ilivyoenda, meli zilitengeneza stempu zake na mfumo wa ndani kwa ndani wa biashara, Yaani maisha yakawa yanaendelea ili kujihisi wako nyumbani.

Meli 15 zilizokwama hatimaye ziliruhusiwa kuondoka kwenye mfereji huo mwaka wa 1975. Kufikia wakati huo, ni meli mbili tu kati ya meli 15 zilikuwa bado zinafaa kusafiri baharini kwa uwezo wake zenyewe, Nyingine zilikuwa zimekufa, Zilihitaji kuvutwa.

Polycarp Mdemu
d7bff7fd6a2155734844c7e4cb47aac9.jpg
1c0915a486c4852e40a3f5baaf2f0713.jpg
b613f6a23e82800f566bdde89f0b372c.jpg
b41d05686a63b53d233796ada4527737.jpg
9c45a791eaf6b8660f08f23e0f52ff2b.jpg
 
watu weupe wana maono, mwafrica ati achimbe mfereji miaka kwa 10? ili iweje? nani afaidike? hapa ndipo tunapopitwa wa ngozi nyeupe wakiwemo waarabu na watu wa asia.

Leo tunashindwa hata kuleta maji safi ya uhakika katika jiji la Dar toka vyanzo vyetu vingi vya uhakika.

Mungu tulikukosea nini sisi watu weusi? tunaomba msamaha, tunaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Mwaka 1869 ulifunguliwa Mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), Ni mfereji ambao ulitengenezwa kwa Nguvu ya Binadamu ili Kufupisha safari ya Kutoka Bara la Ulaya Mpaka Asia.

Kabla ya kuwepo kwa mfereji huu Safari ya kutoka Ulaya, kwa mfano kutoka Bandari kubwa Ulaya iitwayo Rotterdam huko Uholanzi mpaka Dubai ni Kilomita 20,900 yaani Meli zilikua zikitembea Siku hadi 24.

Lakini ulipojengwa Mfereji huu, Meli zinatembea kilometa 12,000 kwa siku 10 pekee, Safari imekua rahisi sana, na idadi ya meli kutoka ulaya ziliongezeka, Kwa mwaka meli takribani meli 15,000 hupita mferejini hapo.

Mfereji huu ulianza Kujengwa mwaka 1859 na kampuni la Suez Canal Company na kumalizika mwaka 1869 aliyeanzisha Kampuni hilo ni bwana Ferdinand de Lesseps, Mfereji una Urefu wa 193.30 Kilomita, na Upana mpaka Mita 300.

Meli ya kwanza ilipitia mfereji mpya tarehe 17 Februari 1867 iliitwa El Mahrousa

Mfereji huu japo hapo mwanzo ulikuwa ukimilikiwa na Serikali ya Misri lakini Ni wazi waliokua wakiuendesha ni Shareholders kutoka nchi za Ulaya, Hasa Uingereza na Ufaransa.

Mwaka 1956 raisi wa Misri wakati huo Gamal Abdel Nasser alitaifisha mfereji huo ambao ulileta Vita iliyoitwa Suez Crisis.

Mawazo ya kupata mfereji huu mwanzo yalikua yakionekana hayawezekani, Hivyo Mafanikio ya mfereji wa Suez yalihamasisha ujenzi wa mwanzo ya Mfereji wa Panama.

KATIKA HISTORIA Wakati wa Vita vya Siku Sita vya Juni 1967(Six days War) kati ya Misri na Israeli, Mfereji wa Suez ulifungwa na serikali ya Misri na kuzuia kila upande kwa meli za kivita zilizovamia mfereji, Hivyo hakuna meli iliyoruhusiwa Kuingia ama kutoka.

Wakati wa kufungwa, meli 15 za kimataifa zilijikuta zimebaki katikati ya mfereji kwenye Ziwa Kuu la Bitter. Walibaki wakiwa wamekwama katikati ya mfereji katikati ya maji kwa miaka nane, wenyeji waliwaita "Yellow fleet" kwa sababu ya mchanga wa jangwa ambao ulifunika meli zao.

Watu waliokuwamo ndani ya meli hasa wahudumu, wengi walizunguka ndani na nje ya meli zilizokwama kwa kazi ya miezi 3, lakini wengine walipoteza mda kwa kuunda jumuiya yao na kuandaa hafla za michezo na kijamii ili maisha yaendelee ndani ya Mfereji licha ya Kukwama

Kadiri miaka ilivyoenda, meli zilitengeneza stempu zake na mfumo wa ndani kwa ndani wa biashara, Yaani maisha yakawa yanaendelea ili kujihisi wako nyumbani.

Meli 15 zilizokwama hatimaye ziliruhusiwa kuondoka kwenye mfereji huo mwaka wa 1975. Kufikia wakati huo, ni meli mbili tu kati ya meli 15 zilikuwa bado zinafaa kusafiri baharini kwa uwezo wake zenyewe, Nyingine zilikuwa zimekufa, Zilihitaji kuvutwa.

Polycarp MdemuView attachment 2419723View attachment 2419727View attachment 2419724View attachment 2419725View attachment 2419726
Yaani watu walio wengi hawasomi taarifa za maana. Hii taarifa murua sana

When built, the canal was 164 km long and 8 m deep. After several enlargements, it is 193.30 km long, 24 m deep and 205 metres wide. It consists of the northern access channel of 22 km, the canal itself of 162.25 km and the southern access channel of 9 km.

Source: length of suez canal km - Sök på Google
 
Kwanini walijenga,si wangepita hivyo hivyo au hakukuwa na maji ya kutosha
Ni kama wewe uamue kutengeneza mfereji wa kwenda Dodoma halafu uwe unasafiri kwa meli kwenda Dodoma. Walibomoa sehemu ya nchi kavu na kuweka maji ya bahari. Kuna mfereji mwingine pia huko Marekani unaitwa Panama. Angalia ramani hapa

 
Mwaka 1869 ulifunguliwa Mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), Ni mfereji ambao ulitengenezwa kwa Nguvu ya Binadamu ili Kufupisha safari ya Kutoka Bara la Ulaya Mpaka Asia.

Kabla ya kuwepo kwa mfereji huu Safari ya kutoka Ulaya, kwa mfano kutoka Bandari kubwa Ulaya iitwayo Rotterdam huko Uholanzi mpaka Dubai ni Kilomita 20,900 yaani Meli zilikua zikitembea Siku hadi 24.

Lakini ulipojengwa Mfereji huu, Meli zinatembea kilometa 12,000 kwa siku 10 pekee, Safari imekua rahisi sana, na idadi ya meli kutoka ulaya ziliongezeka, Kwa mwaka meli takribani meli 15,000 hupita mferejini hapo.

Mfereji huu ulianza Kujengwa mwaka 1859 na kampuni la Suez Canal Company na kumalizika mwaka 1869 aliyeanzisha Kampuni hilo ni bwana Ferdinand de Lesseps, Mfereji una Urefu wa 193.30 Kilomita, na Upana mpaka Mita 300.

Meli ya kwanza ilipitia mfereji mpya tarehe 17 Februari 1867 iliitwa El Mahrousa

Mfereji huu japo hapo mwanzo ulikuwa ukimilikiwa na Serikali ya Misri lakini Ni wazi waliokua wakiuendesha ni Shareholders kutoka nchi za Ulaya, Hasa Uingereza na Ufaransa.

Mwaka 1956 raisi wa Misri wakati huo Gamal Abdel Nasser alitaifisha mfereji huo ambao ulileta Vita iliyoitwa Suez Crisis.

Mawazo ya kupata mfereji huu mwanzo yalikua yakionekana hayawezekani, Hivyo Mafanikio ya mfereji wa Suez yalihamasisha ujenzi wa mwanzo ya Mfereji wa Panama.

KATIKA HISTORIA Wakati wa Vita vya Siku Sita vya Juni 1967(Six days War) kati ya Misri na Israeli, Mfereji wa Suez ulifungwa na serikali ya Misri na kuzuia kila upande kwa meli za kivita zilizovamia mfereji, Hivyo hakuna meli iliyoruhusiwa Kuingia ama kutoka.

Wakati wa kufungwa, meli 15 za kimataifa zilijikuta zimebaki katikati ya mfereji kwenye Ziwa Kuu la Bitter. Walibaki wakiwa wamekwama katikati ya mfereji katikati ya maji kwa miaka nane, wenyeji waliwaita "Yellow fleet" kwa sababu ya mchanga wa jangwa ambao ulifunika meli zao.

Watu waliokuwamo ndani ya meli hasa wahudumu, wengi walizunguka ndani na nje ya meli zilizokwama kwa kazi ya miezi 3, lakini wengine walipoteza mda kwa kuunda jumuiya yao na kuandaa hafla za michezo na kijamii ili maisha yaendelee ndani ya Mfereji licha ya Kukwama

Kadiri miaka ilivyoenda, meli zilitengeneza stempu zake na mfumo wa ndani kwa ndani wa biashara, Yaani maisha yakawa yanaendelea ili kujihisi wako nyumbani.

Meli 15 zilizokwama hatimaye ziliruhusiwa kuondoka kwenye mfereji huo mwaka wa 1975. Kufikia wakati huo, ni meli mbili tu kati ya meli 15 zilikuwa bado zinafaa kusafiri baharini kwa uwezo wake zenyewe, Nyingine zilikuwa zimekufa, Zilihitaji kuvutwa.

Polycarp MdemuView attachment 2419723View attachment 2419727View attachment 2419724View attachment 2419725View attachment 2419726
 
Mwaka 1869 ulifunguliwa Mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), Ni mfereji ambao ulitengenezwa kwa Nguvu ya Binadamu ili Kufupisha safari ya Kutoka Bara la Ulaya Mpaka Asia.

Kabla ya kuwepo kwa mfereji huu Safari ya kutoka Ulaya, kwa mfano kutoka Bandari kubwa Ulaya iitwayo Rotterdam huko Uholanzi mpaka Dubai ni Kilomita 20,900 yaani Meli zilikua zikitembea Siku hadi 24.

Lakini ulipojengwa Mfereji huu, Meli zinatembea kilometa 12,000 kwa siku 10 pekee, Safari imekua rahisi sana, na idadi ya meli kutoka ulaya ziliongezeka, Kwa mwaka meli takribani meli 15,000 hupita mferejini hapo.

Mfereji huu ulianza Kujengwa mwaka 1859 na kampuni la Suez Canal Company na kumalizika mwaka 1869 aliyeanzisha Kampuni hilo ni bwana Ferdinand de Lesseps, Mfereji una Urefu wa 193.30 Kilomita, na Upana mpaka Mita 300.

Meli ya kwanza ilipitia mfereji mpya tarehe 17 Februari 1867 iliitwa El Mahrousa

Mfereji huu japo hapo mwanzo ulikuwa ukimilikiwa na Serikali ya Misri lakini Ni wazi waliokua wakiuendesha ni Shareholders kutoka nchi za Ulaya, Hasa Uingereza na Ufaransa.

Mwaka 1956 raisi wa Misri wakati huo Gamal Abdel Nasser alitaifisha mfereji huo ambao ulileta Vita iliyoitwa Suez Crisis.

Mawazo ya kupata mfereji huu mwanzo yalikua yakionekana hayawezekani, Hivyo Mafanikio ya mfereji wa Suez yalihamasisha ujenzi wa mwanzo ya Mfereji wa Panama.

KATIKA HISTORIA Wakati wa Vita vya Siku Sita vya Juni 1967(Six days War) kati ya Misri na Israeli, Mfereji wa Suez ulifungwa na serikali ya Misri na kuzuia kila upande kwa meli za kivita zilizovamia mfereji, Hivyo hakuna meli iliyoruhusiwa Kuingia ama kutoka.

Wakati wa kufungwa, meli 15 za kimataifa zilijikuta zimebaki katikati ya mfereji kwenye Ziwa Kuu la Bitter. Walibaki wakiwa wamekwama katikati ya mfereji katikati ya maji kwa miaka nane, wenyeji waliwaita "Yellow fleet" kwa sababu ya mchanga wa jangwa ambao ulifunika meli zao.

Watu waliokuwamo ndani ya meli hasa wahudumu, wengi walizunguka ndani na nje ya meli zilizokwama kwa kazi ya miezi 3, lakini wengine walipoteza mda kwa kuunda jumuiya yao na kuandaa hafla za michezo na kijamii ili maisha yaendelee ndani ya Mfereji licha ya Kukwama

Kadiri miaka ilivyoenda, meli zilitengeneza stempu zake na mfumo wa ndani kwa ndani wa biashara, Yaani maisha yakawa yanaendelea ili kujihisi wako nyumbani.

Meli 15 zilizokwama hatimaye ziliruhusiwa kuondoka kwenye mfereji huo mwaka wa 1975. Kufikia wakati huo, ni meli mbili tu kati ya meli 15 zilikuwa bado zinafaa kusafiri baharini kwa uwezo wake zenyewe, Nyingine zilikuwa zimekufa, Zilihitaji kuvutwa.

Polycarp MdemuView attachment 2419723View attachment 2419727View attachment 2419724View attachment 2419725View attachment 2419726
Kwanza Nikushukuru Kwa Ufahamu Mzuri uliotupatia wana JF.
Binafsi sikuwahi kujua Makubwa kama hayo kuhusu Suez Canal.
Hata hivyo, Maarifa haya yananipa picha kwamba TANZANIA Bado hatujachelewa kuifikisha BAHARI YA HINDI MKOANI MOROGORO Kwanjia ya Mfereji.
Ama, Kuchimba mfereji mdogo wa mita 35 Upana, kutoka ZIWA TANGANYIKA - DODOMA.
Sijui Sheria za Kimataifa zinasemaje kuhusu hili.
Wenye ufahamu watufafanulie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom