Wakuu naombeni ushauri,
Kuna mdosi ameniajiri kwenye kampuni yake kwa miaka kadhaa na kama mjuavyo hali ya maisha kadiri siku zinavyoenda inakuwa ngumu mwelekeo siujui na kuacha siwezi ni hivi majuzi tu namuuliza japo anifikirie kuniongeza kidogo mshahara niweze kujikimu, jibu alilonipa liliniacha hoi yaani anasema miundombinu ya kampuni haiko sawa yaani afanye marekebisho ya umeme,maji na vyoo kwanza ndipo atanifikiria kitu ambacho kimsingi sidhani kama kwangu mimi kina uhusiano kwani si mara ya kwanza kumuomba na kila mara hunijibu kwanza afanye kile ndipo anifikirie.
Yaani ni danadana na visingizio kibao utekelezaji ziro na sasa nimeshamstukia kuwa hana nia ya dhati.
Je, kisheria hili limekaa vipi kwenye mkataba hakukuwa na kipengele kisemacho mshahara uendane na masuala anayoyataja
Naombeni ushauri.
Kuna mdosi ameniajiri kwenye kampuni yake kwa miaka kadhaa na kama mjuavyo hali ya maisha kadiri siku zinavyoenda inakuwa ngumu mwelekeo siujui na kuacha siwezi ni hivi majuzi tu namuuliza japo anifikirie kuniongeza kidogo mshahara niweze kujikimu, jibu alilonipa liliniacha hoi yaani anasema miundombinu ya kampuni haiko sawa yaani afanye marekebisho ya umeme,maji na vyoo kwanza ndipo atanifikiria kitu ambacho kimsingi sidhani kama kwangu mimi kina uhusiano kwani si mara ya kwanza kumuomba na kila mara hunijibu kwanza afanye kile ndipo anifikirie.
Yaani ni danadana na visingizio kibao utekelezaji ziro na sasa nimeshamstukia kuwa hana nia ya dhati.
Je, kisheria hili limekaa vipi kwenye mkataba hakukuwa na kipengele kisemacho mshahara uendane na masuala anayoyataja
Naombeni ushauri.