Mwai Kibaki awadharau watanzania!

Mwai Kibaki awadharau watanzania!

Zipuwawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
3,050
Reaction score
656
Rais wa kenya Mwai Kibaki leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema ''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.

Hata hivyo kitendo cha serikali ya Tanzania ikiongozwa na Rais JK Kikwete kuipa barabara ya Old Bagamoyo yenye historia ya Tanzania na kumpa Mwai kibaki, ikumbukwe Mwai kibaki aliingia kwa nguvu Kenya na kusababisha mauaji ambayo leo hii hatosaulika kenya. Sisi Watanzania ni kipi kilichotufanya barabara ya kihistoria kupewa Kibaki?

Source ITV habari saa 2000hrs usiku


482484_507276975982805_1605657235_n.jpg
 
Rais wa kenya Mwai Kibaki
leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema
''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi
wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania
huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.

Hata hivyo kitendo cha serikali ya Tanzania ikiongozwa na Rais JK
Kikwete kuipa barabara ya Old Bagamoyo yenye historia ya Tanzania na
kumpa Mwai kibaki, ikumbukwe Mwai kibaki aliingia kwa nguvu Kenya na
kusababisha mauaji ambayo leo hii hatosaulika kenya. Sisi Watanzania ni
kipi kilichotufanya barabara ya kihistoria kupewa Kibaki?

Source ITV habari saa 2000hrs usiku

Zipuwawa, Haya hebu tupe data zako,wewe umetembea mpaka wapi!
 
Last edited by a moderator:
Ulimbukeni tu huo ...mbona tuna watu wengi wa kuenz au ndo malipo ya ku toa title ya doctor dr kwa bos mkuu
 
Hiyo maana umechagua wewe tu kwa malengo yako ya kigombanishi. Mwingine anaweza kusema Kibaki anadhani watanzania wana hali ya juu ya maisha na wamezoea kutumia gari badala ya kutembea, how about that?
 
Source ITV habari saa 2000hrs usiku[

Ndugu yangu pamoja na kwamba sikubaliani na hiki ulichojaribu kuelezea naomba nikupe elimu ndogo ya namna unavyoweza kunakili chanzo cha habari. Unatakiwa kueleza/kunakili kile tu chanzo chako kinavyosema , halafu kama wewe mwenyewe una mawazo yako hutakiwi kuonyesha ni sehemu ya mawazo toka kwenye chanzo chako. ITV hawajasema hivyo ulivyotaka watu waelewe. Hiyo ni mtizamo wako tu.
 
Ni kweli watanzania wengi hawajazoea kutembea..! Hata kama umezunguka nchi nyingi haimaanishi watanzania wengi wamezunguka pia, labda kama unasema "John Walker" anapokwenda mahali basi na wananchi wake wanakua wametembea pia!!

Pili Watanzania wengi hajazoeaa kuambiwa ukweli kama ulivyo! Mfano ni wewe, kuambiwa ukweli unasema ni dharau!

"Ficha upumbavu wako usifiche hekima yako"
Hapa mkuu umefanya kinyume cha hiyo nukuu..!
 
Anatupa changamoto kuwa tutoke na tujifunze wenzetu wanafanyaje huko nje,biashara na kujifunza mambo mapya sio kukaa pwani tu na kubakia kupiga domo!
 
Source ITV habari saa 2000hrs usiku[

Ndugu yangu pamoja na kwamba sikubaliani na hiki ulichojaribu kuelezea naomba nikupe elimu ndogo ya namna unavyoweza kunakili chanzo cha habari. Unatakiwa kueleza/kunakili kile tu chanzo chako kinavyosema , halafu kama wewe mwenyewe una mawazo yako hutakiwi kuonyesha ni sehemu ya mawazo toka kwenye chanzo chako. ITV hawajasema hivyo ulivyotaka watu waelewe. Hiyo ni mtizamo wako tu.
angalia kuna sehemu nime quote maneno na mara baada ya hapo nimeweka na mawazo yangu au elimu gani......
 
We acha tu nasikitika sana barabara hiyo kuitwa jina la kiongozi alietakiwa kuwa mshitakiwa wa kwanza wa vurugu za mauaji ya Kenya baada ya uchaguzi wa mwaka 2007. Shame on us, hata angesema chochote juu yetu ni swa kabisa.Mi ntaendelea kuiita Old Bagamoyo Road na kama vipi tuna watu wamefanya makubwa kwenye jamii yetu lakini hawatambuliki hata hawajawahi kupewa hata jina la mtaa
 
rais wa kenya mwai kibaki leo akiwahutubia wazee wa dar kwa niaba ya watanzania amesema ''watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi tanzania tu je hi si dharau kwa watanzania? Inamaana watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.

Hata hivyo kitendo cha serikali ya tanzania ikiongozwa na rais jk kikwete kuipa barabara ya old bagamoyo yenye historia ya tanzania na kumpa mwai kibaki, ikumbukwe mwai kibaki aliingia kwa nguvu kenya na kusababisha mauaji ambayo leo hii hatosaulika kenya. Sisi watanzania ni kipi kilichotufanya barabara ya kihistoria kupewa kibaki?

Source itv habari saa 2000hrs usiku
yes,izo ni changamoto
 
Rais wa kenya Mwai Kibaki leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema ''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.

Hata hivyo kitendo cha serikali ya Tanzania ikiongozwa na Rais JK Kikwete kuipa barabara ya Old Bagamoyo yenye historia ya Tanzania na kumpa Mwai kibaki, ikumbukwe Mwai kibaki aliingia kwa nguvu Kenya na kusababisha mauaji ambayo leo hii hatosaulika kenya. Sisi Watanzania ni kipi kilichotufanya barabara ya kihistoria kupewa Kibaki?

Source ITV habari saa 2000hrs usiku

JaribuNI kuacha ubishi wa kikondoo. Mtu aki-comment juu yako sio lazima upinge kama alilosema lina ukweli.
 
Source ITV habari saa 2000hrs usiku[

Ndugu yangu pamoja na kwamba sikubaliani na hiki ulichojaribu kuelezea naomba nikupe elimu ndogo ya namna unavyoweza kunakili chanzo cha habari. Unatakiwa kueleza/kunakili kile tu chanzo chako kinavyosema , halafu kama wewe mwenyewe una mawazo yako hutakiwi kuonyesha ni sehemu ya mawazo toka kwenye chanzo chako. ITV hawajasema hivyo ulivyotaka watu waelewe. Hiyo ni mtizamo wako tu.
umeongea vizuri sana mkuu! hawa watu wanataka sisi watanzania tumchukie mwai kibaki bila sababu. hii kasumba ya kuwachukia wakenya ililetwa na mtu ambaye sasa yupo kaburini. hawa watu bado wantawaliwa na kaburi lake. tanzania ndio maana haina maendeleo kwa sababu kuna watu bado wanendeshwa hisia zao na kaburi la mtu badala a ya akiri zao.
 
Rais wa kenya Mwai Kibaki leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema ''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.

Hata hivyo kitendo cha serikali ya Tanzania ikiongozwa na Rais JK Kikwete kuipa barabara ya Old Bagamoyo yenye historia ya Tanzania na kumpa Mwai kibaki, ikumbukwe Mwai kibaki aliingia kwa nguvu Kenya na kusababisha mauaji ambayo leo hii hatosaulika kenya. Sisi Watanzania ni kipi kilichotufanya barabara ya kihistoria kupewa Kibaki?

Source ITV habari saa 2000hrs usiku

Lo! yatakushinda ZIPUWAWA!!!!!!! Kama wewe ni mwanamume katu hutaishi na mke! kama we mwanamke basi siku moja utasutwa!
Watu wote tumemsikia huyo mzee lakini wewe na negativity zako, umesikia unayoyawaza kichwani mwako. Kazungumza kiswahili hukumwelewa, angezungumza kiingereza sijui ungetoa thread gani!!!!!!!!!!!

Tuseme alimaanisha ulivyosema, je wewe hata mikumi ulishatembelea? pengine hata coco beach hupajui
 
Back
Top Bottom