"Mwafwaa" ndio nini?

"Mwafwaa" ndio nini?

cosa nostra

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
1,773
Reaction score
1,809
Naona hii kitu kwenye post za watu ina maanisha nini "mwafwaa?"
 
Ni neno la kejeli sana huko huayani ikimaanisha mtateseka hadi kufa
 
asanteni wadau nimeipata vizuri sana na nimeongezea majibu mengine kichwani
 
Je hakuna kiongozi yoyote mkubwa wa serikali aliyewahi kusema hilineno [HASHTAG]#mwafaa[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom