Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,647
- 13,648
Sawa naomba mimi na wewe tujadiliane.Hata anavyofanya REALITY ni sawa! akiweza kutengeneza generation yake na propaganda vizuri basi mawazo yake yatarithishwa vizazi na vizazi na kuwa sawa na biblia.
Reality alichokataa ni kushikiwa akili na mtu au vikundi vya watu! (Hata mimi nakataa)
Lengo si ni kujifunza?
Naandika hapo chini.