gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,958
- 2,286
Sasa mbona unaanza kashfa!?
Mi nimeskia wakristo kila wakimuona mgonjwa wanasema ANA PEPO!
Na vilevile kila mara mnasema kila mgonjwa kaumizwa na pepo!
Sasa mi nakupeni ushauri. Mnatoa matusi!
Yesu ndio kawafundisha tabia mbaya namna hii??
Au kwa sababu ni wana kondoo ndio man haki ya kuongea kama kondoo??
mkuu Khaatan,
usiwe unaleta ubishi usio na maana hapa ukidhani unafurahisha watu, post zako zinakera na kuleta maudhi kwa watu, tafadhari tumia busara, hasa linapokuja swala la UGONJWA, hakuna mtu anayependa mwenzie aumwe hata kama si wa imani yako. Sisi sote ni ndugu. Mbona wenzako wengi wametoa pole wameendelea na mambo mengine lakini wewe unaleta mambo ya dhihaka?
tafadhari si sifa kubishana na watu ukidhani watakuona wa maana, fikiri kabla ya kupost, kunamuda wa utani na kunamaswala mengine hayahitaji utani