Mwadhama - Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa

Mwadhama - Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa

Kijana nadhani una matatizo kuliko unavyodhani ama kujua, jaribu kujitafiti zaidi, sidhani kama kuna faida kushabikia jinsi hiyo. Jitafiti.

Sasa mzee! Kama kadinali mwenyewe kashindwa kujitafiti ili apone! Mi kweli ntaweza??

Andiko linasema "dalili ya muumini wa kweli LZM aweze kuponya wagonjwa kwa KUWAGUSA TU!

Sasa ktk WAKATOLIKI WOOTE NCHINI! Hakuna MUUMINI WA KWELI HATA MMOJA??

Duhhh! Kazi ipo hapo!!
 
kwani Mchungaji Lusekelo Anataarifa? Wamshitue tu wasione noma yani akimuombea tu tayari anapona hata kama ni ule ugonjwa wetu.
 
Huyo hata mlie, ugonjwa wake HAMTOAMBIWA ng'oo!

Halafu!? Kumbe MAKADINALI NAO PIA WANAUGUAGA!??

Si wanasema tu! Unamponya kwa jiiiiiiiiiina la Yesu!? Au SIMAMA kwa jiiiiiina la Yesu! Halafu anapona saa hiohio!

Au wa kuyatamka hayo lzm awe mkubwa kuliko yeye!?

Naomba kufahamishwa hapo!

...acha dhihaka na imani za watu, halaf kaa ukijua hicho ndio kitu ambacho mpaka leo hamjui kinachowatafuna waislam, huwa naona hasa wewe hujielewi, pia naamini hata elimu yako, ni ya upande mmoja, pia wewe ni mmoja kati ya watu wanofanya dini ya kiislam na waislam kuonekana wabaya, ukidhani unaitetea kumbe unazidi kujenga uhasama, ulitakiwa uwe balozi wa amani kwa kuondoa hizi tofauti lakini kila inapotilewa post hata kama ni kwa nia njema ni lazima uchafue, unafikiri utakaa ufanikiwe kwa njia ambayo wewe na wenzako mnaitumia, au unafikiri hao unao "mess" nao ni wapuuzi vile reaction zao ziko silent? Watchout.....
 
ugua pole. Mungu akupatie afya. ameen

get well soon....

Get well soon Bishop

Get well soon!

Mwadhama; mwenyezi Mungu akupiganie urejee katika afya yako njema haraka iwezekanavyo.

Kanisala la katoriki lifanye utaratibu limpeleke kwa Nabii TB Joshua uko lazima atapona

Get Well Soon!

Mungu wetu ni mwaminifu atakuponya askofu ili ukaifanye kazi yake.amen

Get well soon..

Mwenyezi Mungu amjalie apone.

hivi hizi dua mnamuombea kwa mungu yupi??
Kwa sababu kuna waefeso na wakolosai miongoni mwenu wanaimani kuwa mungu wao pia ALIKUFA! na kabla ya hapo alitaka kikombe KIMUEPUKE lkn ikashindikana!
Sasa kama mnamuombe kwa huyo aliyekufa! Sidhani kama hizi dua zenu zitakuwa very effective.

Labda mfuate ushauri wa kumuagiza huyo NABII! huenda akawa na miujiza kama yule nabii wa AGAPE TV.
 
Huko mirembe ndio wanakofungiwa wasema kweli au?
Nakuuliza wewe ambae ndio daktari wa mirembe, huyu jamaa anaumwa nini??
Na kadinali mzima ANAEPONYA WATU KILA SIKU vipi AUGUE?

Au ndio inabidi tukubali kale ka msemao kanakosema "mganga hajigangi"?
Kama vipi si Ajitolee mchungaji mmoja humu jf akamtoe huyo pepo!??
Au kule sijui kutibu vilema na vipofu ilikuwa ana ekti kama rambo!?

We ngojeni tu! Wanasema "ikificha ugonjwa, mauti yatakuumbua!
Ngoja tusubiri siku ya kwenda kuaga mwili wake! Tuone je! Bado atakuwa kajazia?? Au kabaki kilo kasoro!!?

Teh teh teh teh!


Na ndio maana nimesema wewe akili yako kuna bolt imepata kutu. Au kichwa chako kimejaa tope na siyo ubongo.

Aliyekwambia Kardinari Pengo ana pepo ni nani?????? umeshazoea kupiga madogori, na unataka kuleta hiyo tabia JF.

Kila ukikaa unafikiria pepo na mashetani kwa kuwa na wewe ni kizazi cha mashetani na pepo.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Mpaka isemwe hivyo then it is something serious. Mungu akupe nguvu na tiba katika ugonjwa unaokusumbua
 
Mungu akupe tahafifu na upone haraka... Ugua pole, Soon unyanyuke salama.
 
Na ndio maana nimesema wewe akili yako kuna bolt imepata kutu. Au kichwa chako kimejaa tope na siyo ubongo.

Aliyekwambia Kardinari Pengo ana pepo ni nani?????? umeshazoea kupiga madogori, na unataka kuleta hiyo tabia JF.

Kila ukikaa unafikiria pepo na mashetani kwa kuwa na wewe ni kizazi cha mashetani na pepo.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!

Sasa mbona unaanza kashfa!?
Mi nimeskia wakristo kila wakimuona mgonjwa wanasema ANA PEPO!
Na vilevile kila mara mnasema kila mgonjwa kaumizwa na pepo!
Sasa mi nakupeni ushauri. Mnatoa matusi!
Yesu ndio kawafundisha tabia mbaya namna hii??
Au kwa sababu ni wana kondoo ndio man haki ya kuongea kama kondoo??
 
Sasa mbona unaanza kashfa!?
Mi nimeskia wakristo kila wakimuona mgonjwa wanasema ANA PEPO!
Na vilevile kila mara mnasema kila mgonjwa kaumizwa na pepo!
Sasa mi nakupeni ushauri. Mnatoa matusi!
Yesu ndio kawafundisha tabia mbaya namna hii??
Au kwa sababu ni wana kondoo ndio man haki ya kuongea kama kondoo??

We dini huiwezi
 
hivi hizi dua mnamuombea kwa mungu yupi??
Kwa sababu kuna waefeso na wakolosai miongoni mwenu wanaimani kuwa mungu wao pia ALIKUFA! na kabla ya hapo alitaka kikombe KIMUEPUKE lkn ikashindikana!
Sasa kama mnamuombe kwa huyo aliyekufa! Sidhani kama hizi dua zenu zitakuwa very effective.

Labda mfuate ushauri wa kumuagiza huyo NABII! huenda akawa na miujiza kama yule nabii wa AGAPE TV.


Mkuu ungekuwa makini ungeweza kuelewa lakini kwa sababu unaelimu fulani ambayo imekuongoza kutoa huo mtazamo ndio maana unafanya jambo rahisi kuwa gumu na la kimjadala tena. tofautisha kati ya Mungu na mungu. God na god au gods. ukijua kutofautisha dunia nzima itakuelewa unamaanisha nin hao unaotaka kuwaleta hata mimi binafsi siwajui. Namtambua Mungu Mkuu muumba wa Mbingu na Dunia na Vyote vilivyomo.

Ubarikiwa na Mwenyezi Mungu

MKUU
 
Mkuu ungekuwa makini ungeweza kuelewa lakini kwa sababu unaelimu fulani ambayo imekuongoza kutoa huo mtazamo ndio maana unafanya jambo rahisi kuwa gumu na la kimjadala tena. tofautisha kati ya Mungu na mungu. God na god su gods. hao unaotaka kuwaleta hata mimi binafsi siwajui. Namtambua Mungu Mkuu muumba wa Mbingu na Dunia na Vyote vilivyomo.

Ubarikiwa na Mwenyezi Mungu

MKUU

Amin.
Kwa kauli hio kunakufanya wewe na mimi NDUGU KABISAA!
Yaani you are my BROTHER FROM ANOTHER MOTHER!

Manake kuna watu wanasema Mungu ni watatu kwa mmoja!
Na wengine wakasema mungu ana mwana!
Hao ndio nikawauliza mungu yupi! Kwa herufi ndogo! (Manake wako watatu)

Mimi na wewe tunaamini MUNGU MMOJA TU! na tukimuabudu huyo PEKE YAKE basi tutafanikiwa sana.

Asante kwa dua yako.
 
hivi hizi dua mnamuombea kwa mungu yupi??
Kwa sababu kuna waefeso na wakolosai miongoni mwenu wanaimani kuwa mungu wao pia ALIKUFA! na kabla ya hapo alitaka kikombe KIMUEPUKE lkn ikashindikana!
Sasa kama mnamuombe kwa huyo aliyekufa! Sidhani kama hizi dua zenu zitakuwa very effective.

Labda mfuate ushauri wa kumuagiza huyo NABII! huenda akawa na miujiza kama yule nabii wa AGAPE TV.


HIVI UNAJUA KUWA MAJINI (MASHETANI )NI NDUGU ZA WAISLAMU?​

" Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam)yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quaran.Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29
" Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- " Nyamazeni (msikilizeni maneno yaMwenyezi Mungu)" Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya".

Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo nisura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. " Sema: imefunuliwa kwangu yakuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani yaajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikishayoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa.Hakujifanyia mke wala mwana……………………. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.


Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu.Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ilikuwepo kwa karibu karne 6.Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah SalehFarsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho " Maisha ya Nabii Mohammad" ule Uk. 31 anasema "

Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kamainavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani.havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwaumbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuwezakuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini nishetani.Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyowanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti. Quran suratul As-Sajdah, (kusujudu) , 32:13 " Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewahuria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni 8 wema na wanamwabudu mungu.Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote niwema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi nawakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.Katika Quran Suratul, al-Kahf, (Pango) 18:50 " Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake…….."
================================================================================================
 
Back
Top Bottom