Mwadhama - Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa

Mwadhama - Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa

Ugua pole Cardinal Pengo!Upone haraka uendelee na utumishi wako wa kuchunga kondoo wa bwana!
 
Anaficha nini Ugonjwa wake? Au ndo vileeee?

mbona mpaka leo hatujui kilichomuua Mgimwa ingawa waliuma uma meno tu na mpaka wengine wakasema walitaka kureplace mwingine afe ili yeye abaki. Tanzania ni nchi ya ajabu sana jamani

Waumini wangependa kujua kimsumbuacho Mwadhama pengo.......

Mgimwa alikuwa ni mtu wa serikali lakini huyu ni kiongozi wa dini, je kuna uhalali wowote wa kuficha anachoumwa?

nani mwenye haki ya kutangaza ugonjwa wa mtu mwingine?

Si unajua kuwa ugonjwa unaweza kumkuta mtu any minute na bila taarifa? Nadhani ndivyo ilivyo. Tumuombee kwa Mungu amponye, aendelee kututumikia.

Mbona nilimwona juzi tu akiwa mzima wa Afya hapo Oysterbay akiendesha mnada akiwa pamoja na mkapa?

Uguwa pole, lakini kwanini hakusema anaumwa ugonjwa gani?

Huyo hata mlie, ugonjwa wake HAMTOAMBIWA ng'oo!

Halafu!? Kumbe MAKADINALI NAO PIA WANAUGUAGA!??

Si wanasema tu! Unamponya kwa jiiiiiiiiiina la Yesu!? Au SIMAMA kwa jiiiiiina la Yesu! Halafu anapona saa hiohio!

Au wa kuyatamka hayo lzm awe mkubwa kuliko yeye!?

Naomba kufahamishwa hapo!
 
Mungu Mwenyezi amjalie afya njema ili aendelee kutimiza majukumu yake kwetu sisi waumini wake na taifa lake kwa ujumla
 
mbona mpaka leo hatujui kilichomuua Mgimwa ingawa waliuma uma meno tu na mpaka wengine wakasema walitaka kureplace mwingine afe ili yeye abaki. Tanzania ni nchi ya ajabu sana jamani

Waumini wangependa kujua kimsumbuacho Mwadhama pengo.......

Mgimwa alikuwa ni mtu wa serikali lakini huyu ni kiongozi wa dini, je kuna uhalali wowote wa kuficha anachoumwa?

nani mwenye haki ya kutangaza ugonjwa wa mtu mwingine?
Anayepaswa kutoa taarifa za ugonwja wa mtu ni Daktari peke yake.

Hivyo ukitaka kujua anaumwa nini nenda kwa Daktari wake atakueleza.

MIZMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Huyo hata mlie, ugonjwa wake HAMTOAMBIWA ng'oo!

Halafu!? Kumbe MAKADINALI NAO PIA WANAUGUAGA!??

Si wanasema tu! Unamponya kwa jiiiiiiiiiina la Yesu!? Au SIMAMA kwa jiiiiiina la Yesu! Halafu anapona saa hiohio!

Au wa kuyatamka hayo lzm awe mkubwa kuliko yeye!?

Naomba kufahamishwa hapo!

Ndugu yangu sidhani kama wewe ni mzima kiakili!!!!!!!!!

Isije kuwa umetoroka Hospitali ya Mirembe!!!!!

Maneno yako yanadhihirisha jinsi uliyo, siwezi kushangaaa!!!

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Ugua pole kardinali!

Kila anaye ipiga vita Tanganyika lazima akione cha mtema kuni, fullstop!
 
Kanisala la katoriki lifanye utaratibu limpeleke kwa Nabii TB Joshua uko lazima atapona
 
Huyo hata mlie, ugonjwa wake HAMTOAMBIWA ng'oo!

Halafu!? Kumbe MAKADINALI NAO PIA WANAUGUAGA!??

Si wanasema tu! Unamponya kwa jiiiiiiiiiina la Yesu!? Au SIMAMA kwa jiiiiiina la Yesu! Halafu anapona saa hiohio!

Au wa kuyatamka hayo lzm awe mkubwa kuliko yeye!?

Naomba kufahamishwa hapo!

Tabu ya mtoto Mdogo kurithishwa MAJINI.. Ndio matokeo yake haya hapa kuropoka hovyohovyo
 
Ndugu yangu sidhani kama wewe ni mzima kiakili!!!!!!!!!

Isije kuwa umetoroka Hospitali ya Mirembe!!!!!

Maneno yako yanadhihirisha jinsi uliyo, siwezi kushangaaa!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!

Huko mirembe ndio wanakofungiwa wasema kweli au?
Nakuuliza wewe ambae ndio daktari wa mirembe, huyu jamaa anaumwa nini??
Na kadinali mzima ANAEPONYA WATU KILA SIKU vipi AUGUE?

Au ndio inabidi tukubali kale ka msemao kanakosema "mganga hajigangi"?
Kama vipi si Ajitolee mchungaji mmoja humu jf akamtoe huyo pepo!??
Au kule sijui kutibu vilema na vipofu ilikuwa ana ekti kama rambo!?

We ngojeni tu! Wanasema "ikificha ugonjwa, mauti yatakuumbua!
Ngoja tusubiri siku ya kwenda kuaga mwili wake! Tuone je! Bado atakuwa kajazia?? Au kabaki kilo kasoro!!?

Teh teh teh teh!
 
Kanisala la katoriki lifanye utaratibu limpeleke kwa Nabii TB Joshua uko lazima atapona

Get well soon..

Waumini wangependa kujua kimsumbuacho Mwadhama pengo.......

Si unajua kuwa ugonjwa unaweza kumkuta mtu any minute na bila taarifa? Nadhani ndivyo ilivyo. Tumuombee kwa Mungu amponye, aendelee kututumikia.

Huyo mgalatia Binary katoa wazo japo juu. Kuwa kuna NABII ambae kicheo NI MKUBWA KULIKO kadinali!
Huyo akimpa ile damu ya bwana kutoka dodoma wine. Halafu akamwimbia "hail mary" mara 1000!
Sasa hivi utamuona pengo kageuka mwanya!
 
Last edited by a moderator:
Mwadhama; mwenyezi Mungu akupiganie urejee katika afya yako njema haraka iwezekanavyo.
 
Huyo mgalatia Binary katoa wazo japo juu. Kuwa kuna NABII ambae kicheo NI MKUBWA KULIKO kadinali!
Huyo akimpa ile damu ya bwana kutoka dodoma wine. Halafu akamwimbia "hail mary" mara 1000!
Sasa hivi utamuona pengo kageuka mwanya!
Kijana nadhani una matatizo kuliko unavyodhani ama kujua, jaribu kujitafiti zaidi, sidhani kama kuna faida kushabikia jinsi hiyo. Jitafiti.
 
Back
Top Bottom