Mwabukusi kusema Rais Samia hakupigiwa kura siyo sahihi, ballot paper Ilikuwa na majina 2 Hayati Magufuli na Dkt. Samia

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Hili jambo tumekuwa tukilisema kila Wakati kwamba wakati wa kupiga kura tuliweka tiki √ kwenye jina la Shujaa Magufuli na jina la Mh Samia

Na kwa Pamoja wakapata Ushindi wa 84%

Ikumbukwe pia 2020 Rais Samia ndiye aliyefanya kampeni karibu nchi mzima tofauti na Shujaa Magufuli

Na iwe kwenye kumbukumbu huko kwenye kampeni mh Samia hakupambana na Salum Mwalimu bali alipambana na Tundu Lisu kama ambavyo Salum Mwalimu alikuwa akipambana na Shujaa Magufuli

Naomba ieleweke Mgombea Mwenza wa uRais wa JMT ni Rais pia ndio sababu anaitwa Mgombea Mwenza vinginevyo angekuwa anateuliwa tu kama Waziri Mkuu

Mungu wa mbinguni awabariki!
 
Hili jambo tumekuwa tukilisema kila Wakati kwamba wakati wa kupiga kura tuliweka tiki √ kwenye jina la Shujaa Magufuli na jina la Mh Samia

Na kwa Pamoja wakapata Ushindi wa 84%

Ikumbukwe pia 2020 Rais Samia ndiye aliyefanya kampeni karibu nchi mzima tofauti na Shujaa Magufuli

Na iwe kwenye kumbukumbu huko kwenye kampeni mh Samia hakupambana na Salum Mwalimu bali alipambana na Tundu Lisu kama ambavyo Salum Mwalimu alikuwa akipambana na Shujaa Magufuli

Naomba ieleweke Mgombea Mwenza wa uRais wa JMT ni Rais pia ndio sababu anaitwa Mgombea Mwenza vinginevyo angekuwa anateuliwa tu kama Waziri Mkuu

Mungu wa mbinguni awabariki!
Umeshawahi kupiga kura kumchagua makamu wa rais?
 
Basi tufupishe mada. Tumsahihishe kuwa aliteuliwa na mtu mmoja kwa misingi ya kidikteta. Kisha akawa makamu baada ya wizi wa kura. Kisha akarithi kiti baada ya mwizi mwenzake kuuliwa kwa hila.
Mwandiko wa hivi, ni wa yule anayehisi anachokitetea, hana hoja za kukitetea. Na ndiyo maana anajibu kama vile mnabishana. Anajifanya kutengeneza kaligi fulani hivi ili yaishe kinamna. Kifupi ni kwamba Samia hakupigiwa kura..!!
 
Hili jambo tumekuwa tukilisema kila Wakati kwamba wakati wa kupiga kura tuliweka tiki √ kwenye jina la Shujaa Magufuli na jina la Mh Samia

Na kwa Pamoja wakapata Ushindi wa 84%

Ikumbukwe pia 2020 Rais Samia ndiye aliyefanya kampeni karibu nchi mzima tofauti na Shujaa Magufuli

Na iwe kwenye kumbukumbu huko kwenye kampeni mh Samia hakupambana na Salum Mwalimu bali alipambana na Tundu Lisu kama ambavyo Salum Mwalimu alikuwa akipambana na Shujaa Magufuli

Naomba ieleweke Mgombea Mwenza wa uRais wa JMT ni Rais pia ndio sababu anaitwa Mgombea Mwenza vinginevyo angekuwa anateuliwa tu kama Waziri Mkuu

Mungu wa mbinguni awabariki!
Katumwa huyo an CHUKI SANA
 
Hili jambo tumekuwa tukilisema kila Wakati kwamba wakati wa kupiga kura tuliweka tiki √ kwenye jina la Shujaa Magufuli na jina la Mh Samia

Na kwa Pamoja wakapata Ushindi wa 84%

Ikumbukwe pia 2020 Rais Samia ndiye aliyefanya kampeni karibu nchi mzima tofauti na Shujaa Magufuli

Na iwe kwenye kumbukumbu huko kwenye kampeni mh Samia hakupambana na Salum Mwalimu bali alipambana na Tundu Lisu kama ambavyo Salum Mwalimu alikuwa akipambana na Shujaa Magufuli

Naomba ieleweke Mgombea Mwenza wa uRais wa JMT ni Rais pia ndio sababu anaitwa Mgombea Mwenza vinginevyo angekuwa anateuliwa tu kama Waziri Mkuu

Mungu wa mbinguni awabariki!
Lissu kasema mpaka leo kura za urais hazijulikani.......
 
Binafsi aliyenishawishi kwenda kumpigia kura ni Hayati JPM. Huyo ndo Rais wangu na alishatangulia mbele za haki. Huyu mvaa ushungi asubiri kwanza hadi 2025, akinishawishi nikampigia kura au nisipompigia lakini akapigiwa na wengine, hapo ndo atakuwa Rais wangu..

Nimalizie kwa kusema, angekuwa Rais niliyempigia kura kama angelijiita Rais wa awamu ya 5. Lakini kwa sababu yeye anajitanabaisha kama Rais wa awamu ya 6, hapo kwa kweli binafsi sikubaliani kwa sababu sikuwahi kumpigia kura.

Period.
 
Na ya Samia ilikuwepo pia Kama ulipiga kura,Tena alikua kajifunga ushungi wa Kijana Kama nakumbuka vizuri!!
Hili nakubaliana na wewe kwamba picha samia ilikuwepo. Lakini sisi tulipiga kura kuchagua RAIS NA WABUNGE, si makamu wa rais.
1689169773822.png

Na hata ukiangalia heading, inasema uchaguzi wa rais
 
Hili jambo tumekuwa tukilisema kila Wakati kwamba wakati wa kupiga kura tuliweka tiki √ kwenye jina la Shujaa Magufuli na jina la Mh Samia

Na kwa Pamoja wakapata Ushindi wa 84%

Ikumbukwe pia 2020 Rais Samia ndiye aliyefanya kampeni karibu nchi mzima tofauti na Shujaa Magufuli

Na iwe kwenye kumbukumbu huko kwenye kampeni mh Samia hakupambana na Salum Mwalimu bali alipambana na Tundu Lisu kama ambavyo Salum Mwalimu alikuwa akipambana na Shujaa Magufuli

Naomba ieleweke Mgombea Mwenza wa uRais wa JMT ni Rais pia ndio sababu anaitwa Mgombea Mwenza vinginevyo angekuwa anateuliwa tu kama Waziri Mkuu

Mungu wa mbinguni awabariki!
Kama alipigiwa kura za Urais,

Tutajie Jina la mgombea mwenza wa sa100 uchaguzi Ule 2020.
 
Back
Top Bottom