tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Sio mbunye tu iliyozeeka, hata ngozi pia,sema nyie huwa mnamuona wakati wamuvi, huyo bint kukataa kwake nimwiko alafu 6by6 anadivisheni 5
Daaaaaah!!!!!
but she's cute.
Sio mbunye tu iliyozeeka, hata ngozi pia,sema nyie huwa mnamuona wakati wamuvi, huyo bint kukataa kwake nimwiko alafu 6by6 anadivisheni 5
Inamaana katika wale ambao babu slaa ametangaza tusinunue kazi zao na huyu yumooooo??? Agh masikini weeee, pipooooooozzzzz hakuna kushirikiana na yoyote anaepinga maamuzi wa slaa na mbowe
!
!
ila kanaonekana 'kilometa nyingi mno katembea'
Sasa jamani huyu dada anajitafutia kipato chake kwa njia hii ya sanaa na babu ndo katuasa tusiwaunge mkono, dah inaniwia ngumu kuamini kama hawa chadema wapo kwa maslahi ya watanzania.Haaahaaaaa.....Watu mna mahaba na siasa hadi huruma.....uwiiiiii
Mvuto upo lakini ubunge daaah...mmmh..
Anamvuto gani huyo gamba.
Wengine hapa mnagawa kushinda uwoya tena kwa bei chee...ila mko nyuma ya keyboard ni kuponda tu...u superstar mzigo wa mwiba aseee.....mnachukia tajiri akila nyama?
Kuna wakati alilipunguza ila naona sasa limeanza kurudi labda kwa sasa nadhani ni Beer...Lakini tumbo sio issue sababu akiamua litaondoka tuu...Mvuto bado upo...