Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
gfsonwin umesoma vizuri mi naona kukiwa na mvuto lazima kuna kinyume chake kutokuwa na mvuto sasa mi nawapenda wanawake ambao hawana mvuto samahani kwaa kutumia neno mbaya nimefuta kauli nyangu.Arvin sloane hivi kuna mwanamke mbaya? au nimesoma vibaya? ubaya kwako wewe ukoje?
Last edited by a moderator: