Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Wakusema upo au haupo ni mwangaliaji (decoder) from (encoder) anaeangaliwa. its a matter of right signal at a right channel kwisha kazi.
Haswaaa! Hamna zaidi
Wakusema upo au haupo ni mwangaliaji (decoder) from (encoder) anaeangaliwa. its a matter of right signal at a right channel kwisha kazi.
Kweli kabisa wapo wanawake waliojaliwa uzuri wa umbo pamoja na sura ila si kila mwanamume rijali atakaye muona lazima avutiwe naye kimapenzi KNOP,sababu kuna wanaume wanopenda wanawake wanene (aka chines),Kuna wanaume wengine wanaopenda wembamba(Easy to carry) so inawezekana binti ni mrembo lakini si mwembaba hivyo sitamtamani kimapenzi sababu si type zangu.Wapenzi wana mmu habari za week end?
Jamani leo nimekuja na hili hapa nimelipata mitaa ya kati nikaona nililete hapa tujadili pamoja.
Hivi jamani kuna mwanamke mwenye mvuto tu ambaye kila mwanaume rijali akimuona huvutiwa kumsemesha? je mvuto huu hupelekea kuwasha tamaa ya kufanya matusi na mwanamke husika? Je mvuto huu kwenu wakaka huwa unaangalia vitu gani kwa muonekano wa mara ya kwanza?
Mwanamke akiwa msafi asiwe bonge mrefu wastani atanishawish ila mwanamke anaepend kulakula ovyo uwa cwafaglii
na mimi sijaona kama huyu dada ni mzuri kimvuto kiasi cha kumtolea mfano. Kiuno hakiko makini nyonyo ndo kabisaaammh! erotica huyu anavutia kwasababu yuko uchi with that porn style au? Manake mimi binafsi mathalani nikikutana na mwanaume rijali chumbani kakaa pozi fulani la kimatusi naweza kuvutika kufanya matusi nae lakin mwanaume hiyo pengine nikikutana naye nje wala hata salam yake nisiipokee kwamba hanamvuto.