Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,921
- 71,501
JK hata kama kastahafu bado atawasumbua kuliko Mwenyekiti yeyote aliyepita kwani kwa kitendo cha kudhamiria mke na watoto kuwachomeka kwenye nafasi ndani ya chama kitamtesa sana.How and Why? JK and his team had their time, sasa wameshamaliza they should kick out. Haya mambo ya kuweka warithi kwani JK marahii ameshasahau nini kilichotokea walipotaka kumchomeka Membe?
Hawezi kukubali heshima yake ishuke kwa watu wake hao waondolewe kwa kupigwa chini kwa kura, ataendelea kuingilia ili asipate aibu hiyo