Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Mvutano mkali wazuka kati ya Jeshi la Polisi na mwandishi wa habari asubuhi hii Kisutu, kabla ya kuanza kwa usikilizaji wa kesi ya uhaini Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inayomkabili Mwenyekiti wa Chama, Tundu Lissu.
Fuatilia mwenendo wa Kesi hapa > Kesi ya Uhaini ya Jamhuri dhidi ya Tundu Lissu inaunguruma tena Kisutu leo Agosti 13, 2025
Jeshi la Polisi likiwatoa wananchi waliofika wa wingi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu
Nje ya viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wanachadema wakizozana na polisi. Ni kuekelea kusikilizwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, Tundu Lissu.
Fuatilia mwenendo wa Kesi hapa > Kesi ya Uhaini ya Jamhuri dhidi ya Tundu Lissu inaunguruma tena Kisutu leo Agosti 13, 2025