Mvutano benchi la ufundi Simba: Je, wachambuzi wako sahihi?

KISHADA

JF-Expert Member
Oct 18, 2012
2,224
3,290
Mara baada ya kumaliza mchezo kati ya Simba v/s Mbeya City, wachambuzi wa Azam Media walubainisha hii nukta, pamoja na mambo mengine ya kitaalamu lakini hili walilibainisha.

Kwamba benchi la SSC kuna shida, hasa yanapofanyika mabadiliko ya mchezaji ni kama kuna kutoelewana. Mifano ya kwenye kombe la Mapinduzi na jana Mbeya

Lengine ni Kocha kuonekana kila wakati akitulizwa na msaidizi wake.

Jambo linaloikosesha utulivu timu.

Je, nyinyi mnaonaje
 
Uyu kocha ana vurugu, anamihemko Sana Kama Marefa wasingekua wa mchongo ni ngumu kumaliza mechi bila Yellow card au red card. Najiuliza Madrid waliwezaje kuishi na kocha wa aina hii!!
 
Ata klop huwa ana mizuka pale Liverpool na ata meno anaweza ngata. Mbona hatujawai sikia hizi siasa.

Tatizo timu hizi mbili simba na yanga zenyewe zinaamini zinatakiwa kushinda milele. Haiwezekani iko kitu
 
Uyu kocha ana vurugu, anamihemko Sana Kama Marefa wasingekua wa mchongo ni ngumu kumaliza mechi bila Yellow card au red card. Najiuliza Madrid waliwezaje kuishi na kocha wa aina hii!!
Madrid mlimuona kweli au alisema mwenyewe🤣🤣🤣
 
kosa la uongozi wa simba hawakubadilisha benchi lao lote la ufundi, kocha mgeni hawaamini wasaidizi alio wakuta tena ki ukweli baadhi yao wanamzunguka na yeye kesha washtukia…………...
 
Back
Top Bottom