NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,201
- 12,719
Uwezo wa Guede Jr umekwisha onekana ni mtu wa kusubiri apenyezewe ball papatu papatu na Yeye afunge, Geuede Jr ni mzito na siyo mtafutaji (mkabaji) Kama afanyavyo Kennedy Musonda na Clement Mzinze.
NALIA NGWENA kocha mchezaji natumia jukwaa hili Pendwa kuwaambia /kuwapa taarifa Gamondi na Benchi la ufundi kuwa Guede Jr apewe dakika 9 au 10 zinamtosha maana ni mechi ya kivumbi na jasho hii mechi haitaki mchezaji kukaa mbele inataka mchezaji atakayevuja jasho ndani ya dakika 90
NALIA NGWENA nitafurahi sana Tena mno endapo kocha atapanga Kosi la Kono la NYANI lililompiga Simba sc na Belouzdad japo kua Kuna baadhi ya wachezaji wapo na Majeraha na taarifa nilizozipata kutoka huko chimbo ni Kwamba Hali siyo mbaya kwa Khalid Aucho, Pacoume na Yao Yao.
Benchi la ufundi lizingatie haya Presha za ukabaji za Kennedy Musonda zitawanyima uhuru Mamelodi Fc.
Kosi hili (1) Diara (2) Yao Yao (3) lomalisa /Bage boy (4)&(5) Job na Baka (6)&(8) The tank & Mudathr (7) Nzengeli (11) Pacoume fundi (10) Aziz ki (9) Musonda.
Kila la heri Yanga Sc katika kulipambania taifa na kuliheshimisha taifa.
Tukutane kwa Mkapa.
NALIA NGWENA kocha mchezaji natumia jukwaa hili Pendwa kuwaambia /kuwapa taarifa Gamondi na Benchi la ufundi kuwa Guede Jr apewe dakika 9 au 10 zinamtosha maana ni mechi ya kivumbi na jasho hii mechi haitaki mchezaji kukaa mbele inataka mchezaji atakayevuja jasho ndani ya dakika 90
NALIA NGWENA nitafurahi sana Tena mno endapo kocha atapanga Kosi la Kono la NYANI lililompiga Simba sc na Belouzdad japo kua Kuna baadhi ya wachezaji wapo na Majeraha na taarifa nilizozipata kutoka huko chimbo ni Kwamba Hali siyo mbaya kwa Khalid Aucho, Pacoume na Yao Yao.
Benchi la ufundi lizingatie haya Presha za ukabaji za Kennedy Musonda zitawanyima uhuru Mamelodi Fc.
Kosi hili (1) Diara (2) Yao Yao (3) lomalisa /Bage boy (4)&(5) Job na Baka (6)&(8) The tank & Mudathr (7) Nzengeli (11) Pacoume fundi (10) Aziz ki (9) Musonda.
Kila la heri Yanga Sc katika kulipambania taifa na kuliheshimisha taifa.
Tukutane kwa Mkapa.