Simba kabla hamjachelewa mrudisheni Mgunda kwenye benchi la ufundi

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,330
33,954
Screenshot 2023-08-14 110320.png


Ni kweli hajui Kifaransa, lugha ambayo baadhi ya wachezaji wa Simba wanaongea, lakini weledi wake kwenye kusaidia mambo ya kiufundi ni mkubwa sana.

Simba isipoteze muda, imrudishe Mgunda kwenye Benchi la Ufundi kabla timu haijaharibikiwa kabisa.
 
Hakuna haja maana Simba ipo vizuri sana kombe la kwanza mezani hilo. Furaha tele Msimbazi
 
Punguzeni ujuaji, watu hamchangii hata 10000 kwa mwaka ila kelele nyingi sana.

Mgunda hakuwa na jema kuwa msaidizi, bora kaondokewa
 
Na cheo chake kipya ni Mkurugenzi wa Ufundi wa timu zote,
Hapo napo vipi learned brother?
Bado Kuna shida ya kusaidia pale kwenye Benchi la ufundi.

Utimamu wa wachezaji Wa Simba unatia shaka na uwezo wa Kocha kufanya mabadiliko nao pia unatia shaka.
 
Back
Top Bottom