makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,182
- 81,116
Sasa hapo ni dini au uwendawazimu wa mtu binafsi, mimi ni muislam binafsi sipendezwi na haya mambo ya ajabu ajabu.Halafu mnasema eti Israel wakatili. Midini mingine imeambatana na LAANA
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendag mabishano ya dini ndo maana huwa naenda na ushahidi, kwa kuwa ushahidi nishakuwekea umesusoma na umeuelewa na hujaupinga bas kwaheri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Au huyooo apoSipendag mabishano ya dini ndo maana huwa naenda na ushahidi, kwa kuwa ushahidi nishakuwekea umesusoma na umeuelewa na hujaupinga bas kwaheri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
😢😢😢😢Saudia imepatwa na nini?Mzuqa
Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.
Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.
Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.
Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.
Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?
Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari
Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online
View attachment 1020010View attachment 1020011
Huyo mama saikolojia yake haiko Sawa apatiwe tiba nimesikitika mno.
Wamalizane wenyewe maana wanasema dini yao ndio mfumo mzima wa maisha yamwanadamu .Mzuqa
Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.
Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.
Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.
Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.
Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?
Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari
Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online
View attachment 1020010View attachment 1020011
Sawa basi ni habari ya kutunga,ndo hata picha ikashindikana ya huyo mtoto akiwa katika majeraha hayo?Mzuqa
Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.
Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.
Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.
Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.
Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?
Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari
Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online
View attachment 1020010View attachment 1020011
hizo za kuosha farasi ni ngumu kupata ila za kutawadha myqoundou zimeshehen na zakumwaga
Dah BP nakuahidi kwa heshima yaki kwaanzia Leo hutasoma tena matusi kutoka kwangu na kutoheshim din za wengineJon Stephano hata wewe unaongea matusi, acha hivyo mkuu, alafu pia heshimu d+ini za watu!
Dah BP nakuahidi kwa heshima yaki kwaanzia Leo hutasoma tena matusi kutoka kwangu na kutoheshim din za wengine
Mimi sijazungumzia mkatoliki nimesema wakristo so na nyie mnahusika coz waanglikan wamefungisha ndoa nyingi tuu uingereza je hio inatosha kuwachafua wakristo woteHakuna na hatakuwepo Padre mkatoliki ATAE NA ANAEFUNGISHA NDOA WATU WA JINSIA MOJA,
Hakuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya ammaaanDeen ya kweli na Haq..
Hio ni mku.ndu ya nguruwe MTU anakula khaaa
hii itakuwa silabasi mupya, kwa huko kwao ni tofauti ila huku kwetu umkute mwarabu asiye muislamu labda mwarabu wa kulogwa huyoMwarabu na uislam ni vitu viwili tofauti