Mvujisha siri za CHADEMA ni Marehemu?

Mvujisha siri za CHADEMA ni Marehemu?

khaah nyie vp, mbona mi nalijua jina la katibu mteule mtarajiwa tangu juzi, hivi nyie mnaishi nchi ipi?
 
Nakubaliana na wewe

Lakini Pia U double Agent wa slaa inaonekana ni wa muda mrefu

Siri za CHADEMA zilikuwa zinatoka sana

Jinsi Slaa alivyoondoka ni evidence tosha ya U double agent.......Zito alichezewa faulu makusudi ili slaa asishtukiwe

Without Slaa ,sasa CHADEMA inaweza kukua haswa......
mawazo ya kijinga. chama kimeua ajenda ya ufisadi hamsemi. mmebungaa tuu kama mazuzu. mnashughulikia vitu vidogo doogo
 
Katibu hajulikani ila ni lazima atoke kaskazini.

Katibu mkuu wa chadema hawezi kutoka sehemu yoyote zaidi ya kaskazini.
akili za mafuta ya taa hizi..
Kasome uelimike sio kukaa vibarazani na kupiga majungu
Ndomana umebakia kulipwa kwa kupiga umbea mitandaoni wakati wenzako wanalipwa kwa kufanya kazi
 
Mbona katibu mkuu chadema keshajulikana. Atatoka kanda ya ziwa kwa taarifa yenu.
 
Mpaka navyoandika bado jina la mteule Katibu Mkuu wa Chadema halijafuja popote. Magazeti Mawakala ya CCM yamejaribu kuchokonoa bila mafanikio. Mpaka jeshi la Makamanda linatua jijini Mwanza nchi imebaki na shauku kubwa ya kutaka kumjua mtendaji mkuu wa chama chao.

Nidhamu na kuaminiana vimetawala kipindi chote cha mchakato. Je, yule bwana aliyekuwa hodari wa kuvujisha siri za chama ni "marehemu"?.

Yule aliyekuwa akileta barua za chama mitandaoni. Yule aliyekuwa anaripoti CCM.
Mkuu kumbe nawe ni kulekule? Utawatambua kwa matamshi yao, "jina la mteule HALIJAFUJA"
 
Back
Top Bottom