Mvujisha siri za CHADEMA ni Marehemu?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
53,684
120,384
Mpaka navyoandika bado jina la mteule Katibu Mkuu wa Chadema halijafuja popote. Magazeti Mawakala ya CCM yamejaribu kuchokonoa bila mafanikio. Mpaka jeshi la Makamanda linatua jijini Mwanza nchi imebaki na shauku kubwa ya kutaka kumjua mtendaji mkuu wa chama chao.

Nidhamu na kuaminiana vimetawala kipindi chote cha mchakato. Je, yule bwana aliyekuwa hodari wa kuvujisha siri za chama ni "marehemu"?.

Yule aliyekuwa akileta barua za chama mitandaoni. Yule aliyekuwa anaripoti CCM.
 
Sasa hapo ndo ujue tofauti ya Kati ya ccm Na chadema hivi mnakumbuka Yale majina ya Kikwete ya tano bora mswahili aliya tweet Ata kabla ya muda kufika ahaa ahaa.
 
Mpaka navyoandika bado jina la mteule Katibu Mkuu wa Chadema halijafuja popote.Magazeti Mawakala ya CCM yamejaribu kuchokonoa bila mafanikio.Mpaka jeshi la Makamanda linatua jijini Mwanza nchi imebaki na shauku kubwa ya kutaka kumjua mtendaji mkuu wa chama chao.Nidhamu na kuaminiana vimetawala kipindi chote cha mchakato. Je,yule bwana aliyekuwa hodari wa kuvujisha siri za chama ni "marehemu"?.Yule aliyekuwa akileta barua za chama mitandaoni.Yule aliyekuwa anaripoti CCM.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, mkuu yupi huyo tupatie angalau kwa initial zake
 
chama cha kigoma nini?hawezi tena huyo kwisha habari zake.atuwezi kuishi kwa ndumila kuwili mtoto kama mwanamke wa salon.


swissme
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh
Cc mcubic
Cc MOTOCHINI
 
Sasa hapo ndo ujue tofauti ya Kati ya ccm Na chadema hivi mnakumbuka Yale majina ya Kikwete ya tano bora mswahili aliya tweet Ata kabla ya muda kufika ahaa ahaa.
1457632200112.jpg
 
Hii kweli inadhihirisha kuwa "marehemu" alikuwa hafai na huko aliko watambue tabia haina dawa.
cc MOTOCHINI, mkuu peleka salamu kuwa sasa imedhibitishwa kuwa dari au kuta sio zilizokuwa zinatoa siri ya chumbani bali ni "marehemu"
Cc mcubic
 
Mkuu weka hapa hiyo Meseji ya twitter!

UOTE="bily, post: 15532111, member: 78753"]Sasa hapo ndo ujue tofauti ya Kati ya ccm Na chadema hivi mnakumbuka Yale majina ya Kikwete ya tano bora mswahili aliya tweet Ata kabla ya muda kufika ahaa ahaa.[/QUOTE]
Ww
 
Mkuu weka hapa hiyo Meseji ya twitter!

UOTE="bily, post: 15532111, member: 78753"]Sasa hapo ndo ujue tofauti ya Kati ya ccm Na chadema hivi mnakumbuka Yale majina ya Kikwete ya tano bora mswahili aliya tweet Ata kabla ya muda kufika ahaa ahaa.
Ww[/QUOTE]
Kwahio uamini kama mswahili alikua Na majina yake hivi wewe upo Tanzania alafu Ata siasa za nchi uzijui je sisi diaspora tufanyeje sasa angaisha kichwa chako usiifanye ubongo kuwa tegemezi.
 
CHADEMA Walitekeleza Kwa Vitendo Msemo Usemao Dawa Ya Mbwa Anayemfuata Msafiri Ni Kumkata Mkia
 
Katibu hajulikani ila ni lazima atoke kaskazini.

Katibu mkuu wa chadema hawezi kutoka sehemu yoyote zaidi ya kaskazini.
 
Back
Top Bottom