Mvujisha siri za CHADEMA ni Marehemu?

Mvujisha siri za CHADEMA ni Marehemu?

Hii kweli inadhihirisha kuwa "marehemu" alikuwa hafai na huko aliko watambue tabia haina dawa.
cc MOTOCHINI, mkuu peleka salamu kuwa sasa imedhibitishwa kuwa dari au kuta sio zilizokuwa zinatoa siri ya chumbani bali ni "marehemu"
Naona mnajitahidi kuondoa harufu ya kinyesi iliyosemwa na Dr Slaa
 
Sasa hapo ndo ujue tofauti ya Kati ya ccm Na chadema hivi mnakumbuka Yale majina ya Kikwete ya tano bora mswahili aliya tweet Ata kabla ya muda kufika ahaa ahaa.

Kuna tofauti kati ya majina kuwapo na uwezekano wa kuvuja na kutokuwa na majina mpaka dakika ya mwisho mtu anahaha kutafutahayo hayawezi kuvuja sababu hayapo kwani hata kukisikia tu kwa uwezo wa watu waliobaki inakuwa vigumu mnoooo, Dr kweli alikuwa mtu wa ukweli
 
Kiatu cha Dr Slaa kikubwa..........no one would match his qualities hapo ufipani
Wachumia tumbo baada ya kufukuzwa toka cdm naona sasa mmeanza kusifia mizoga
 
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, mnapaa na mbunge mmoja kama taa ya treni?
Teh... Tehe... Teh... Teheeeeee...
Mbunge mmoja kama taa ya treni!!!!!!
Teh... Tehe... Teh... Teheeeeee...
 
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, mnapaa na mbunge mmoja kama taa ya treni?
Hivyo hivyo......maana hata bungeni tumetisha kwa hoja na tutaendelea kutisha......Kigoma yoote ndani ya bima ya afya.....tunaonesha mfano...sisi ni kioo mje mjitazame
 
Hivyo hivyo......maana hata bungeni tumetisha kwa hoja na tutaendelea kutisha......Kigoma yoote ndani ya bima ya afya.....tunaonesha mfano...sisi ni kioo mje mjitazame
Treni hiyoooooooooo
Mchimba madini huyoooo
Muwindaji huyoooooooo
 
Back
Top Bottom