Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Kaskazini ya wapi? Maana hata Lindi ni kaskazini ya MtwaraKatibu hajulikani ila ni lazima atoke kaskazini.
Katibu mkuu wa chadema hawezi kutoka sehemu yoyote zaidi ya kaskazini.
Kaskazini ya wapi? Maana hata Lindi ni kaskazini ya MtwaraKatibu hajulikani ila ni lazima atoke kaskazini.
Katibu mkuu wa chadema hawezi kutoka sehemu yoyote zaidi ya kaskazini.
Daaah!!? Wewe ni kitulo au kite!?Katibu hajulikani ila ni lazima atoke kaskazini.
Katibu mkuu wa chadema hawezi kutoka sehemu yoyote zaidi ya kaskazini.
Ha! Ha! Haaaa!!!!Mpaka navyoandika bado jina la mteule Katibu Mkuu wa Chadema halijafuja popote.Magazeti Mawakala ya CCM yamejaribu kuchokonoa bila mafanikio.Mpaka jeshi la Makamanda linatua jijini Mwanza nchi imebaki na shauku kubwa ya kutaka kumjua mtendaji mkuu wa chama chao.Nidhamu na kuaminiana vimetawala kipindi chote cha mchakato. Je,yule bwana aliyekuwa hodari wa kuvujisha siri za chama ni "marehemu"?.Yule aliyekuwa akileta barua za chama mitandaoni.Yule aliyekuwa anaripoti CCM.
Mungu ibariki chadema .Alikuwa Chombo Tumwa = ACT
kamanda katibu mkuu mbona anajulikana. si bwana Sumaye kwani ni siri. wala haina haja yakuficha fichaMpaka navyoandika bado jina la mteule Katibu Mkuu wa Chadema halijafuja popote.Magazeti Mawakala ya CCM yamejaribu kuchokonoa bila mafanikio.Mpaka jeshi la Makamanda linatua jijini Mwanza nchi imebaki na shauku kubwa ya kutaka kumjua mtendaji mkuu wa chama chao.Nidhamu na kuaminiana vimetawala kipindi chote cha mchakato. Je,yule bwana aliyekuwa hodari wa kuvujisha siri za chama ni "marehemu"?.Yule aliyekuwa akileta barua za chama mitandaoni.Yule aliyekuwa anaripoti CCM.
Kama sio siri mbona wewe ndio wa kwanza tunakusikia? Au uneoteshwa kama Babu wa Loliondo?kamanda katibu mkuu mbona anajulikana. si bwana Sumaye kwani ni siri. wala haina haja yakuficha ficha
Alitupwa pamoja na malaika zakeMpaka navyoandika bado jina la mteule Katibu Mkuu wa Chadema halijafuja popote.Magazeti Mawakala ya CCM yamejaribu kuchokonoa bila mafanikio.Mpaka jeshi la Makamanda linatua jijini Mwanza nchi imebaki na shauku kubwa ya kutaka kumjua mtendaji mkuu wa chama chao.Nidhamu na kuaminiana vimetawala kipindi chote cha mchakato. Je,yule bwana aliyekuwa hodari wa kuvujisha siri za chama ni "marehemu"?.Yule aliyekuwa akileta barua za chama mitandaoni.Yule aliyekuwa anaripoti CCM.
Mkuu slaaaaaa yupo majuu anamalizia mshiko aliovuta kutoka kwa kina nkurunzinza ukiisha naye ndio atakuwa ameisha kabisaslaaaaaaaa
Mkuu unataka kunambia kuwa baada ya kuwaondoa magugu maji sasa ziwa lipo salama salimini?teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, watu mna maneno!Mchakato unaendelea katika nidhamu na kuaminiana kwa kiwango cha juu sana