Mvua...

Hizi data za mvua unastua watu !
Kuna jamaa zetu wametoroka Magwepande, wakisikia mambo ya mvua wanazeeka fikra ghafla .
Hahahahaha...waambie wasiogope yalikua manyunyu makubwa makubwa tu!!

Mi binafsi naenjoy leo maana jiji lilishanichosha na joto hadi nkapamiss arachuga....I'm now happy
Yeahhh it was pretty nice...sema jioni joto kama kawa!!

Poleni kwa Mvua, sie tulioko huku Magharibi ya Mbali ni Baridi ya Hatariiii.
Poleni na nyie....


Lizzy...
Kwanza habari yako.. Za siku? Uko poa? Long time...!
Haya naomba nikuswalike..Umeenda bongoo..au umefuatilia vyombo vya habari juu ya hali ya hewa?
Mi mzima wa afya Trachie...vipi wewe?!

Hehheehehhe yeahhh nilikuja na Fresh ya Shamba kuosha osha macho mjini.
 
mvua ya kichokozi hii.. Hainyeshi weekend, halafu inatafuta that specific day in a mid week where u got so many plans ndo inanyesha..
I know...ina makusudi kweli...sema angalau iliisha mapema!!

worry not mpendwa,i know what you mean,next time ikinyesha just tap bishanga,a man of all seasons!
Hahaha...I think i'll pass maana vitisho vya kumwagiwa tindikali vimezidi!!
I miss the rain... huku mlali hakunyeshi! na ikinyesha ni manyunyu tu!
Pole mwaya...ngoja nikuombee idondoke ya nguvu!!
 
Mvua inaponyesha, ardhi inapoa. Ardhi inapo poa nayo inapoza hewa. Hewa inapo poa inaburudisha. Unapo burudika, unakuwa na furaha.

Yataka utafakari kwa makini ndipo uzijue neema za muumba wetu.
You are right Doc...but sometimes the timming is just not right!!
 
Hilo nalo neno na sijui kwa nini, pia mi huwa najiuliza
barabara zinajaa maji hivyo huwalazimu drivers kupunguza mwendo kuongeza umakini na kuepusha ajali
Brake failure hasa kwa magari ya brake pads zikilowa braking distance inaongezeka
Magari mengi kuzimika barabarani...kuishuwa fuel due to long jams na hitilafu za maji or minor accidents
Kukatika kwa umeme, circuit breaking kutokana na radi etc hivyo kufanya traffic lights kutokufanya kazi
Kutokuwepo kwa wazee wa Favour kwenye junctions na hivyo kika mtu kugimbea kukross na kunyimana driving courtesy hivyo magari kufungamana
Drivers ignorance
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom