Mvua yaleta madhara Lushoto

Mvua yaleta madhara Lushoto

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,493
Reaction score
12,453
Hivi sasa hakuna mawasiliano ya barabara kati ya Mombo to Lushoto (maeneo mbele kidogo ya Vuga) baada ya jiwe kubwa kuanguka na kuziba barabara kutokana na mvua kubwa zinazo endelea kunyesha milima ya Usambara,gari zote za kutoka Dar,Arusha,Moshi,Tanga,kuja Lushoto na kutoka Lushoto kushuka Mombo zimekwama.

Kwa hali jinsi ilivyo kwa wilaya ya Lushoto hakuna uwezo wa kulitoa jiwe kutokana na ufinyu wa vitendea kazi.

Hakuna taarifa ya kufa ama kujeruhiwa mpaka hivi sasa ila cha ajabu hakuna askari yeyote eneo la tukio licha ya hali ya usalama kuwa tete kutokana na wingi wa watu katika eneo la tukio.

Source: Mimi mwenyewe nikiwa eneo la tukio.

cc; mohamed Mtoi ,CHAMVIGA ,zumbe Mkuu et.al
 
Last edited by a moderator:
Hivi sasa hakuna mawasiliano ya barabara kati ya mombo to lushoto (maeneo mbele kidogo ya vuga) baada ya jiwe kubwa kuanguka na kuziba barabara kutokana na mvua kubwa zinazo endelea kunyesha milima ya usambara,gari zote za kutoka dar,arusha,moshi,tanga,kuja lushoto na kutoka lushoto kushuka mombo zimekwama.kwa hali jinsi ilivyo kwa wilaya ya lushoto hakuna uwezo wa kulitoa jiwe kutokana na ufinyu wa vitendea kazi.

hakuna taarifa ya kufa ama kujeruhiwa mpaka hivi sasa ila cha ajabu hakuna askari yeyote eneo la tukio licha ya hali ya usalama kuwa tete kutokana na uwingi wa watu katika eneo la tukio.

source mimi mwenyewe nikiwa eneo la tukio.
pole ndugu kwa matatizo yaliyo wakumba
 
Hivi sasa hakuna mawasiliano ya barabara kati ya mombo to lushoto (maeneo mbele kidogo ya vuga) baada ya jiwe kubwa kuanguka na kuziba barabara kutokana na mvua kubwa zinazo endelea kunyesha milima ya usambara,gari zote za kutoka dar,arusha,moshi,tanga,kuja lushoto na kutoka lushoto kushuka mombo zimekwama.kwa hali jinsi ilivyo kwa wilaya ya lushoto hakuna uwezo wa kulitoa jiwe kutokana na ufinyu wa vitendea kazi.

hakuna taarifa ya kufa ama kujeruhiwa mpaka hivi sasa ila cha ajabu hakuna askari yeyote eneo la tukio licha ya hali ya usalama kuwa tete kutokana na uwingi wa watu katika eneo la tukio.

source mimi mwenyewe nikiwa eneo la tukio.

Hiyo wilaya haina Grader / Kijiko?
 
Hivi sasa hakuna mawasiliano ya barabara kati ya mombo to lushoto (maeneo kati ya vuga na soni) baada ya jiwe kubwa kuanguka na kuziba barabara kutokana na mvua kubwa zinazo endelea kunyesha milima ya usambara,gari zote za kutoka dar,arusha,moshi,tanga,kuja lushoto na kutoka lushoto kushuka mombo zimekwama.kwa hali jinsi ilivyo kwa wilaya ya lushoto hakuna uwezo wa kulitoa jiwe kutokana na ufinyu wa vitendea kazi.

hakuna taarifa ya kufa ama kujeruhiwa mpaka hivi sasa ila cha ajabu hakuna askari yeyote eneo la tukio licha ya hali ya usalama kuwa tete kutokana na uwingi wa watu katika eneo la tukio.

source mimi mwenyewe nikiwa eneo la tukio.
 
Poleni sana na ukichukulia hela zote tumetupa kwenye sherehe za muungano kazi tunayo wananchi.
 
Asante mghoshi Kwa kutuambia


Nitasema kweli daima
 
Poleni sana wote mlioko safarini kuelekea na kutoka Lushoto lakini maeneo hayo sio mara ya kwanza mawe makubwa kuangukia barabara na usafiri kukwama. Serikali ifanye kama Dumila darajani ili watu waweze kuendelea na safari.😛ray2:😛ray2:
 
Hivi sasa hakuna mawasiliano ya barabara kati ya mombo to lushoto (maeneo kati ya vuga na soni) baada ya jiwe kubwa kuanguka na kuziba barabara kutokana na mvua kubwa zinazo endelea kunyesha milima ya usambara,gari zote za kutoka dar,arusha,moshi,tanga,kuja lushoto na kutoka lushoto kushuka mombo zimekwama.kwa hali jinsi ilivyo kwa wilaya ya lushoto hakuna uwezo wa kulitoa jiwe kutokana na ufinyu wa vitendea kazi.

hakuna taarifa ya kufa ama kujeruhiwa mpaka hivi sasa ila cha ajabu hakuna askari yeyote eneo la tukio licha ya hali ya usalama kuwa tete kutokana na uwingi wa watu katika eneo la tukio.

source mimi mwenyewe nikiwa eneo la tukio.
 
Dah na hay mawe yanakumbukumbu mbaya walishawai watz wenzetu kufa maeneo hayo hayo kwa kuporomokewa na majabali kama hayo
Poleni wakazi wa lushoto
 
Dah na hay mawe yanakumbukumbu mbaya walishawai watz wenzetu kufa maeneo hayo hayo kwa kuporomokewa na majabali kama hayo

Poleni wakazi wa lushoto
 
Jamani poleni huko tuendelee kujulishana kinachoendelea
 
Dah na hay mawe yanakumbukumbu mbaya walishawai watz wenzetu kufa maeneo hayo hayo kwa kuporomokewa na majabali kama hayo
Poleni wakazi wa lushoto

Mkuu kwa ukubwa wa lile jiwe kama linge dondokea basi asinge toka mtu hata mmoja.
 
Back
Top Bottom