Mvua yaleta madhara Lushoto

Mvua yaleta madhara Lushoto

Lushoto kutamu asee... kila kitu kitamu..usafiri upo full. Duhh nije nirudi lushoto nikaule ujana one tym. Seme tu jiwe hilo linatishia usalama
 
jamani home kwetu Magamba nitaendaje?

Kumbe Madam B we ni wa magamba? i hope you look like those beutiful ladies from there....wana asili flani hivi kama waethiopia ethiopia...i really like them.
 
Last edited by a moderator:
mpaka jioni hii kampuni ya strabag wanajitahidi kucholonga ili usiku huu walilipue na baruti.....askari wapo usalama wa abiria na mali zao umeimarishwa,bado magari hayapiti!!!!!!!!
 
Ukijja unitafute tule wote ujana.
usijali hilo tu? Soon ntakuja pande hzo...! Hii ni OP:.alafu wadada wa lushoto wazurije sasa utadhani walichaguliwa wakapostiwa hapo, nyuso nyororoooo kwa hali ya hewa nzuri. Waoaji nawashauri muende lushoto km unataka m/mke wa kuoa
 

Attachments

  • IMG-20140509-WA0000.jpg
    IMG-20140509-WA0000.jpg
    22.5 KB · Views: 136
Poleni sana ndugu zangu msihofu mambo yatakuwa shwari tu. Huko ndo lushoto bhana. Hali ya hewa nzuri misitu ndo usiseme kuna baridi zuri sana huko. Kuhusu magamba kuna watoto wenye nywele za kisomali fulani hivi macho yao yanataka kufanana na waethiopia ukiwaangalia kwa haraka unaweza kusema ni wataturu. Mnajua watu wa lushoto wanawaitaje, WAMBUGU. Sio siri lushoto kuna watoto wazuri sana kweli kama unataka mke nenda kushoto. Kuhusu matunda ndo uriseme yapo ya kila aina. Ngoja nisimalize utamu wote kama unataka karibu ujionee mwenyewe. Huko ndo kwetu bhana. Mwezi wa 6 mungu akijaalia uzima mi ntatia timu huko kuwapa hai ndugu zangu na washikaji kibao.
 
mpaka jioni hii kampuni ya strabag wanajitahidi kucholonga ili usiku huu walilipue na baruti.....askari wapo usalama wa abiria na mali zao umeimarishwa,bado magari hayapiti!!!!!!!!

Mkuu bado mvua inanyesha kubwa? nategemea kubwa mazinde juu next friday
 
Mkuu bado mvua inanyesha kubwa? nategemea kubwa mazinde juu next friday

Tomorrow is saturday. I was plan to see inlaws at Mazinde juu Lushoto but I not know if road is open. If pass Korogwe..Kwashemshi... Dindira....Sakare...Funta...Bumbuli...Soni .. Lushoto. It not know if rain is stop. if it not stop and car stuck in the mud at Bumbuli It can be late of work in monday at Dar. So tell me person of Bumbuli. Rain it stop mwa mwa mwa at Bumbuli or it not stop. Answer me before morning I begin trip.
 
Hivi sasa hakuna mawasiliano ya barabara kati ya mombo to lushoto (maeneo kati ya vuga na soni) baada ya jiwe kubwa kuanguka na kuziba barabara kutokana na mvua kubwa zinazo endelea kunyesha milima ya usambara,gari zote za kutoka dar,arusha,moshi,tanga,kuja lushoto na kutoka lushoto kushuka mombo zimekwama.kwa hali jinsi ilivyo kwa wilaya ya lushoto hakuna uwezo wa kulitoa jiwe kutokana na ufinyu wa vitendea kazi.

hakuna taarifa ya kufa ama kujeruhiwa mpaka hivi sasa ila cha ajabu hakuna askari yeyote eneo la tukio licha ya hali ya usalama kuwa tete kutokana na uwingi wa watu katika eneo la tukio.

source mimi mwenyewe nikiwa eneo la tukio.

Mkuu bado mvua zinanyesha? nategemea kuja pande hizo ijumaa
 
Mkuu bado mvua zinanyesha? nategemea kuja pande hizo ijumaa[
mkuu hali ni shwali kwani serikali na mamlaka husika zimefanya jitihada na hali imerudi kuwa kama mwanzo shughuli mbalimbali za kibinadamu zinaendelea kama kawaida na mvua zimeacha kunyesha kwa lushoto mjini sasa sijajua wewe unaelekea lushoto maeneo yepi???????
 
Mkuu bado mvua zinanyesha? nategemea kuja pande hizo ijumaa

atleast leo tangu asubuhi mvua hakuna na tumeanza kuliona jua kwa mbaalii but kwa taarifa nilizo nazo ni kua jiwe lime ondolewa tayari kwa msaada wa strabag barabara inapitika.
 
Mkuu bado mvua zinanyesha? nategemea kuja pande hizo ijumaa[
mkuu hali ni shwali kwani serikali na mamlaka husika zimefanya jitihada na hali imerudi kuwa kama mwanzo shughuli mbalimbali za kibinadamu zinaendelea kama kawaida na mvua zimeacha kunyesha kwa lushoto mjini sasa sijajua wewe unaelekea lushoto maeneo yepi???????

Ahsante mkuu naelekea mazinde juu
 
Back
Top Bottom