Mvua yaleta madhara Lushoto

Mvua yaleta madhara Lushoto

Poleni sana wote mlioko safarini kuelekea na kutoka Lushoto lakini maeneo hayo sio mara ya kwanza mawe makubwa kuangukia barabara na usafiri kukwama. Serikali ifanye kama Dumila darajani ili watu waweze kuendelea na safari.😛ray2:😛ray2:

kuna jiwe lingine lina ukubwa wa kama nyumba ya ghorofa moja hivi liko hatarini kuachia muda wowote ule.
 
kuna jiwe lingine lina ukubwa wa kama nyumba ya ghorofa moja hivi liko hatarini kuachia muda wowote ule.

Hii sasa ni hatari sana kibaya ni kuwa vifaa vingekuwepo vya kuyaondoa angalau ingekuwa afadhali.
 
daah poleni ndio home kwetu huko...Mosie hai hai...
 
Hii sasa ni hatari sana kibaya ni kuwa vifaa vingekuwepo vya kuyaondoa angalau ingekuwa afadhali.

kwa hali ilivyo eneo la tukio kama jitihada hazitafanyika za kuleta vifaa tutegemee matatizo zaidi.
 
No need panic. There alternative route. it pass Soni. Bumbuli down to Korogwe via Sakare and Dindira problem is if many rain bus not able to drive. Otherwise experienced driverman only can go there. Lushoto is my wife home village there near Mazinde juu. very comfortable place I am go there christmas to enjoyed.
 
Tanga Mkoani kweli vifaa vizuri havipo vya kuondoa hayo mawe?

hawa wezi kosa aisee,nadhani wanaweza kuomba msaada kutoka kwa strabag(spelling error) wapo karibu tu hapo mombo.
 
Hiyo wilaya haina Grader / Kijiko?

Mkuu, hiyo barabara ilivyo finyu hata bodaboda kugeuka ni kazi, magari kupishana ndo usiseme, ukiongezea na kona zilivyo kali hata kurudisha gari nyuma anatakiwa dereva aliyetulia akili. Sasa hiyo greda kufika eneo la tukio ni mtihani mwingine.

Poleni sana wasafiri
 
No need panic. There alternative route. it pass Soni. Bumbuli down to Korogwe via Sakare and Dindira problem is if many rain bus not able to drive. Otherwise experienced driverman only can go there. Lushoto is my wife home village there near Mazinde juu. very comfortable place I am go there christmas to enjoyed.

ooh the route is so so mud because of many rain,i know mazinde juu is very good condition very cold and green vegetable plants if you go there no taking water for washing body because of cold.
 
Chinga one. You it know there ? You are my home boy of my wife. It go from there to KANDEE KA MPAA very mud road. especial if many rain. very big big forest. ohhh you bring my good memories of Lushoto. cheers man. I meet you there I give you one beer at Kakakuona hotel.
 
Miaka ya 97 nimeteseka sana na hiyo barabara kuna mara moja jiwe lilikaa kabisa barabani ikabidi nilale lushoto guest bila kutarajia mara utasikia gari za mizigo zimekwama magamba (wkt huo rami hakuna) kila wakati ilikuwa ni kero tu isiyoisha.
 
Chinga one. You it know there ? You are my home boy of my wife. It go from there to KANDEE KA MPAA very mud road. especial if many rain. very big big forest. ohhh you bring my good memories of Lushoto. cheers man. I meet you there I give you one beer at Kakakuona hotel.

yaah yaah Kandele ka mpaa is very big forest,but now days people say it is small because of cutting down of trees for timber and chacoal,welcome lushoto there kaka kuona their beer is very much sweet.
 
Miaka ya 97 nimeteseka sana na hiyo barabara kuna mara moja jiwe lilikaa kabisa barabani ikabidi nilale lushoto guest bila kutarajia mara utasikia gari za mizigo zimekwama magamba (wkt huo rami hakuna) kila wakati ilikuwa ni kero tu isiyoisha.

hii barabara imetengenezwa kizembe kweli ni nyembamba hata magari kupishana shida.
 
yaah yaah Kandele ka mpaa is very big forest,but now days people say it is small because of cutting down of trees for timber and chacoal,welcome lushoto there kaka kuona their beer is very much sweet.

I pm you so that I call you when I am come there with my specially angel of my heart mother children. very beutiful. I am proud of her too much.
 
Juzi nilipita kwa shida sana, sasa si mngesogea hapo maana likiachia jiwe lingine linaweza kuleta madhara makubwa
 
I pm you so that I call you when I am come there with my specially angel of my heart mother children. very beutiful. I am proud of her too much.

anhaa,iam waiting for your pm then.
 
Mkuu, hiyo barabara ilivyo finyu hata bodaboda kugeuka ni kazi, magari kupishana ndo usiseme, ukiongezea na kona zilivyo kali hata kurudisha gari nyuma anatakiwa dereva aliyetulia akili. Sasa hiyo greda kufika eneo la tukio ni mtihani mwingine.

Poleni sana wasafiri

Abiria shukeni mkasukime jiwe mpaka litoke barabarani
 
Back
Top Bottom