manumbu1
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 715
- 407
Anelka alipokuwa Madrid alisema mpira wakule unaboa kwa sababu wanacheza very slow, na ni kweli. Mpira wa Spain ukiboa unaboa kikweli kwa sababu hauna mashamsham. Kwa Bundesliga, nadhani hata French league imewapiga bao.
Ooo tate naneee mghoshi ana mbui huyu!