Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,440
- 24,686
Kambakuna vimbuga ndo huwabeba hawa samaki mpaka juu sana wakianguka mnasema ni mvua ya samaki😀
Kambakuna vimbuga ndo huwabeba hawa samaki mpaka juu sana wakianguka mnasema ni mvua ya samaki😀
HILI NDIO JIBU SAHIHI HONGERA MKUUNi kweli kabisa hayo matukio hutokea na umeandika vizuri kabisa kuwa kati ya mwezi Mei na Jul kuna kuwa na mvua kubwa na dhoruba kali; Kimsingi hao samaki husombwa na hiyo dhoruba kutoka baharini na kutupwa mitaani
Natumaini unajua nguvu ya dhoruba ya cyclone ile yaweza kunyanyua hata gari sasa ikitokea baharini yaweza kunyanyua maji mengi kwa mstari wa kwenda juu ambapo hayo maji huambatana na kila kiumbe kilicho kwenye eneoo husika.... baadae yakiangua ndio hapo samaki nk nk hyonekana mitaani