Mvua ya mawe yanyesha jijini Arusha

Mvua ya mawe yanyesha jijini Arusha

Lema wanazidi kumpa kiki za bure...muda si mrefu ataota tena
 
Kwani wakati ananyimwa dhamana maagizo yalikuwa yanatoka kwa nan
Wakati ananyimwa dhamana maagizo yalikua yanatoka huko unakojua lkn wakati wa kupewa dhamana hapakua na maagizo yoyote isipokua ni nguvu za kisheria zimetumika. Tena baada ya Mahakama ya rufani kuushangaa Ofisi ya DPP na Mahakama za chini kuudhalilisha tasnia ya sheria kwa kumnyima mtu dhamana iliyowazi...

Wewe na wenzio ni upuuzi tu na roho mbaya mlonayo kumshikilia Lema na kumnyima dhamana bila sababu za msingi. Nasisitiza Lema hakutoka kwa maagizo ya mtu yeyote Bali ni matakwa ya kisheria yamezingatiwa....mmeshikwa pabaya...
 
Hakuna mwenye haki yoyote alidhurumiwa!! Haya si maneno yangu bali ni ya mfalme Daudi. Mvua ni ishara tosha kwamba mwenyezi Mungu ameiona imani yake!
 
Nimemkumbuka Late Fanuel Sedekia aliposema kwenye matukio kama haya Malaika walioko zamu na wasio zamu wanatamani kuudhuria mahali hapa
Ooh Allelluya
Have eternal peace Fanuel
 
Kiukweli.alikua ana onewa tu bule lakini mungu hamtupi mja wake ndio maana akamwonesha kua yupo pamoja nae lakin kwa ushilikiano wetu.tunaweza kumpa nguvu
 
Wakati ananyimwa dhamana maagizo yalikua yanatoka huko unakojua lkn wakati wa kupewa dhamana hapakua na maagizo yoyote isipokua ni nguvu za kisheria zimetumika. Tena baada ya Mahakama ya rufani kuushangaa Ofisi ya DPP na Mahakama za chini kuudhalilisha tasnia ya sheria kwa kumnyima mtu dhamana iliyowazi...

Wewe na wenzio ni upuuzi tu na roho mbaya mlonayo kumshikilia Lema na kumnyima dhamana bila sababu za msingi. Nasisitiza Lema hakutoka kwa maagizo ya mtu yeyote Bali ni matakwa ya kisheria yamezingatiwa....mmeshikwa pabaya...
Acha siasa kwenye mambo ya msingi wewe ni miongoni mwa wanao sema Leo kesho wamesahau
 
Baraka za Mungu adui kaaibishwa giza limejitenga na mwanga aibu yao
 
Usiku kucha mvua imeendelea kunyesha.Hii ni ishara nzuri sana.
Rais wa Arusha anadhihirisha kukosekana kwake kulitaka kuleta balaa kubwa.Ole wao walio jihusisha kumkalisha Lema rumande bila sababu,wajiandae kubeba laana na familia zao.
 
kuna mibaba ikisafiri watoto wanafurahi na kuna wazazi warudipo nyumbani watoto,familia , majirani na hata mbingu hushangilia na kuachia baraka.!
 
Back
Top Bottom