Mvua ya mawe yanyesha jijini Arusha

Mvua ya mawe yanyesha jijini Arusha

View attachment 476447
Muda mfupi baada ya Mbunge Wa Arusha Mjini Mh G Lema kuachiwa mvua ya Mawe imelisafisha jiji la Arusha kama inavyoonekana hapo pichani.

Watu walikua wanashangilia kutoka rumande kwa Mbunge huyo aliyekaa ndani takribani miezi minne.
Mungu hutumia watu wake aliowachagua kuwahabarisha wanadamu yale yaliyo ya Roho wake. Tuwe waangalifu sana kuwaonea waombaji kwa sababu hata katika Mithali 28:16 a "Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana " God knows very well ni nani mtu wake amtumie kuipeleka injili na ujumbe kwa wanadamu. Yona akitumika kuwaokoa watu wa Ninawi kwa nini sisi tunaona mioyoni migumu kuliko hata ule wa Farao?Oooh Bwana Yesu turehemu
Lema njoo na huku kwetu mvua inyeshe maana huyu sizonje anasambaza ukame tu
 
Back
Top Bottom