Viongozi wakuu wa Serikali kuanzia Rais, Wabunge na Madiwani walipatikana kwa rushwa.unategemea nani ataweza kusimamia kitu ambacho kimetokana nae.
Ndio maana wengine tulimuona Magufuli kama Muigizaji,sababu nae alikuwa zao la rushwa na mula rushwa,still akawa anakemea wala rushwa-yalikuwa maajabu ya Dunia.
The only way tukitaka kukomesha rushwa tuanze katika upatikanaji wa Viongozi wakubwa kama Rais,tuhakikishe hawapatikani kwa rushwa.